Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thailand yahofia magaidi kutoka Syria

Polisi nchini Thailand wanachunguza ripoti kuwa wanamgambo kumi kutoka kundi la Islamic state wameingia nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAWASILI KUTOKA NCHINI THAILAND

Baadhi ya viongozi wa dini kutoka katika Mikoa ya Lindi na Mtwara wakiwasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand. Viongozi hao walifanya ziara nchini humo kwa ajili ya kujifunza na kupata uzoefu wa uendelezaji wa sekta ya gesi. Viongozi wa dini wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) kutokea nchini Thailand. Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Abdallah Hamis Ulega akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msichana kutoka Syria ashitakiwa

Msichana wa kiholanzi aliyerejea kutoka Syria ambako alikwenda huko kujiunga na wapiganaji wa jihadi

 

9 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria

Couple ya waigizaji, Angelina Jolie na mumewe Brad Pitt wanatarajia kuongeza member mpya kwenye familia yao yenye watoto 6. Kwa mujibu wa Radar Online, couple hiyo inasemekana wanatarajia kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria. Chanzo kimoja kimesema kuwa kwasasa wako kwenye taratibu za mwisho za kumuasili mtoto huyo yatima ambaye Jolie alikutana naye alipotembelea vituo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

BBCSwahili

Libya yahofia kuporomoka

Libya imelionya baraza la usalama la UN kwamba iwapo haitapata usaidizi wa kuimarisha vikosi vyake taifa hilo litakuwa miongoni mwa mataifa yaliofeli.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yahofia kusajili ‘makapi’

yanga-jjjj1NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.

Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yahofia kunyimwa misaada

Waziri wa mambo ya nje, Sam Kutesa amesema anahofia kuwa Marekani huenda ikainyima msaada baada ya Rais Museveni kuidhinisha sheria dhidi ya ushoga

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyarugusu-Tanzania yahofia Ebola

Mtu mmoja kwenye kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma,amefariki dunia kutokana na ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani