Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya yahofia kuporomoka

Libya imelionya baraza la usalama la UN kwamba iwapo haitapata usaidizi wa kuimarisha vikosi vyake taifa hilo litakuwa miongoni mwa mataifa yaliofeli.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yahofia kunyimwa misaada

Waziri wa mambo ya nje, Sam Kutesa amesema anahofia kuwa Marekani huenda ikainyima msaada baada ya Rais Museveni kuidhinisha sheria dhidi ya ushoga

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyarugusu-Tanzania yahofia Ebola

Mtu mmoja kwenye kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma,amefariki dunia kutokana na ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni Ebola.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yahofia kusajili ‘makapi’

yanga-jjjj1NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.

Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore

Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Thailand yahofia magaidi kutoka Syria

Polisi nchini Thailand wanachunguza ripoti kuwa wanamgambo kumi kutoka kundi la Islamic state wameingia nchini humo

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Bajeti yahofia muda wa uchambuzi

 Kamati ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza wasiwasi iwapo itapata muda wa kutosha wa kuchambua Bajeti Kuu ya Serikali ya 2014/15 kabla ya kuanza vikao vyake mapema mwezi ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

11 years ago

Habarileo

SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.

 

11 years ago

Mwananchi

TCAA yahofia biashara ya usafiri wa anga kuwa ngumu

Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (TCAA) imesema mwaka huu utakuwa mgumu katika biashara ya usafiri wa sekta hiyo kwa sababu ya mfululizo wa ajali za ndege zilizotokea hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani