Libya yahofia kuporomoka
Libya imelionya baraza la usalama la UN kwamba iwapo haitapata usaidizi wa kuimarisha vikosi vyake taifa hilo litakuwa miongoni mwa mataifa yaliofeli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Uganda yahofia kunyimwa misaada
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Nyarugusu-Tanzania yahofia Ebola
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Yanga yahofia kusajili ‘makapi’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umesema hauna mpango wa kufanya usajili wa dirisha dogo kwa kuhofia kukosa wachezaji wenye sifa wanazohitaji, jambo ambalo limeungwa mkono na kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm.
Kabla ya kuanza kwa zoezi la usajili, kocha huyo raia wa Uholanzi alikuwa akisisitiza kuwa hatasajili mchezaji yeyote kutokana na kuridhishwa na viwango vya nyota waliopo kwenye kikosi hicho ambacho kinashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Ebola:Klabu yahofia kumwachia Traore
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Thailand yahofia magaidi kutoka Syria
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kamati ya Bajeti yahofia muda wa uchambuzi
11 years ago
Mwananchi03 Apr
11 years ago
Habarileo11 Jan
SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.
11 years ago
Mwananchi28 Jul
TCAA yahofia biashara ya usafiri wa anga kuwa ngumu