SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Jan
SMZ yaimarisha huduma za maji
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuimarisha huduma za maji safi na salama kwa lengo la kuhakikisha maendeleo yanawafikia wananchi wote.
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI
10 years ago
Habarileo12 Jan
7 wahofiwa kufa maji Kigoma
WATU saba wanahofiwa kufa maji na wengine 49 wameokolewa kutokana baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kukumbwa na dhoruba katika eneo la vijiji vya mwambao wa kusini wa Ziwa Tanganyika.
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Gilla anusurika kufa maji
Gilla akiogelea
…akiokolewa baada ya kuzidiwa na maji.
…akipatiwa huduma ya kwanza
Stori:Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ amejikuta akinusurika kifo wakati alipokuwa akiogelea kwenye ufukwe wa Coco jijini Dar baada ya maji kumzidi kiwango na kuokolewa na wasamaria wema juzi Alhamisi wakati watu wakiwa katika harakati za kuusubiria Mwaka Mpya.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, awali msanii huyo ambaye alifika mahali hapo mida ya jioni aliamua kutulia kwenye viti...
11 years ago
KwanzaJamii16 May
”MV Ruhuhu yasababisha watu kufa maji”
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wakulima saba wahofiwa kufa maji
WAKULIMA saba wanahofiwa kufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Utete kuelekea Mkongo kupigwa wimbi na kugonga boti kisha kupinduka. Ajali hiyo ilitokea juzi saa 11 jioni katika Kivuko...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Mamia wahofiwa kufa maji Libya
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Mamia ya wahamiaji wahofiwa kufa maji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qswicb7Cz1c*m*NajBy1hCrIgOSrIrGPo6Yf3xpUH4he8EN*1lzmRgxJzNXemLPrTzDqspYAehOAzmKKBnV*2jT/IMG20150221WA0011.jpg)
WANUSURIKA KUFA KWA AJALI MKURANGA