SMZ yaimarisha huduma za maji
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuimarisha huduma za maji safi na salama kwa lengo la kuhakikisha maendeleo yanawafikia wananchi wote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
TICTS yaimarisha huduma zao
MENEJA wa Operesheni katika kitengo kinachoshughulikia upakuaji na upakiaji wa makontena bandarini (TICTS), Donald Talawa amesema majukumu ya kitengo hicho yameimarika zaidi baada ya kupata vifaa vya kisasa vyenye thamani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1YjfflTvJAI/Xmj0WjXi1pI/AAAAAAALios/dNT_cZy3IGQ1-r6wa0aEjOvufTBN2HO7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200311-WA0259.jpg)
ARUMERU YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA
Kanisa la Pentecoste Ngulelo linaloongozwa na Mwalimu Onesmo Nnko limekabidhi vifaa vya afya vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kwa Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina ya kanisa na Serikali.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo ambavyo vimetolewa kutokona na sadaka za waumini wa kanisa la Pentecoste Arusha Jana , kiongozi wa kanisa hilo mwalimu Onesmo Nnko amesema wao kama kanisa wana kila sababu...
11 years ago
Habarileo11 Jan
SMZ yahofia 13 kufa maji ajali mv Kilimanjaro
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeunda Tume kuchunguza ajali ya boti ya Kilimanjaro II iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkondo wa Nungwi ambapo hadi sasa watu 13 hawajulikani walipo wakihofiwa kufa maji.
11 years ago
Habarileo14 Dec
SMZ yajieleza kuhamisha huduma za macho Mnazi Mmoja
WIZARA ya Afya imesema huduma za kitengo cha macho kwa wagonjwa wa hospitali ya Mnazi Mmoja zimehamishwa na kupelekwa Kibweni katika hospitali ya kijeshi ya KMKM.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tE_k5hCSV1M/Vf2bn5SgYtI/AAAAAAAB-As/AJIVLrxZAK4/s72-c/0743.jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA CHATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINAADAMU KWA VIKOSI VYA SMZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-tE_k5hCSV1M/Vf2bn5SgYtI/AAAAAAAB-As/AJIVLrxZAK4/s640/0743.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ib89wRni_Wo/Vf2bq-Xx6dI/AAAAAAAB-A0/SF3OzSGEsdw/s640/0785.jpg)
11 years ago
Habarileo07 Mar
Wajapani kuboresha huduma za maji
SHIRIKA la Misaada la Maendeleo la Japan (JICA) limesema litaimarisha mradi wa huduma za maji safi na salama Zanzibar. Limesema lengo la hatua hiyo ni kuongeza uzalishaji wa huduma hiyo kwa wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Chalinze wakosa huduma ya maji
WAKAZI wa Chalinze na vitongoji vyake wanaotegemea kupata maji kutoka chanzo cha Mto Wami, wako katika kipindi kigumu kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo kwa zaidi ya wiki moja. Wakazi...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
‘Huduma za maji, umeme zimekua’
10 years ago
Habarileo04 Feb
Huduma ya maji Dar yarejea tena
BAADA ya wakazi wa Dar es Salaam na Bagamoyo kukaa bila maji takribani siku nane, hatimaye baadhi ya maeneo yameanza kupata maji baada ya matengenezo yaliyokuwa yanafanyika kukamilika.