Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA CHATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINAADAMU KWA VIKOSI VYA SMZ

Kamanda wa Polisi mkoa wa kusini Pemba ‘RPC’ Juma Yussuf Ali, akifungua mafunzo ya siku mbili yaliowahusisha Polisi jamii na Vikosi na Idara maalumu ya ‘SMZ’ Pemba, juu ya haki za binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, kulia ni Mratibu wa mfaunzo hayo, Khalfan Amour Mohamed, na kushoto ni mtoa mada kutoka afisi ya ‘DPP ‘Pemba Mohamed Ali JumaMratibu wa mafunzo ya haki za binadamu kwa Vikosi na Idara maalumu za SMZ, Khalfan Amour Mohamed akielezea...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR ‘ZLSC’ CHATOA MAFUNZO KWA MAAFISA MAHAKAMA YA KADHI

Kituo cha huduma za Sheria kimetoa Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar.22 APRIL 2015,MAZSONS HOTEL SHANGANI. BAADHI ya Mashekh wakisikiliza mada katika mkutano uliondaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar MRATIBU wa mafunzo  ZLSC Gabriel Mkama akitoa maelekezo katika mafunzo hayo. Sheikh Khamis Abdul hamid akiwasilisha maada ya malezi ya mtoto. Afisa habari wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Suleiman Abdulla akitoa ufafanunuzi.Sheikh akichangia...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR

 KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR.

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) CHATOA Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar

 Kituo cha huduma za Sheria kimetoa Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar leo hoteli ya Mazsons, Shangani, Zanzibar. Juu nia baadhi ya Mashekh wakisikiliza mada katika mkutano uliondaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar.MRATIBU wa mafunzo  ZLSC Gabriel Mkama akitoa maelekezo katika mafunzo hayo.Sheikh Khamis Abdul hamid akiwasilisha maada ya malezi ya mtoto.Afisa habari wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Suleiman Abdulla akitoa ufafanunuzi.Sheikh...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA PEMBA CHATOA MAFUNZO KWA JESHI LA POLISI

Mratibu wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Tawi la Pemba Bi.Fatma Hemed Khamis akizungumzia kazi na majukumu ya Kituo hicho, kwenye mafunzo kuwatambaulisha wasaidizi wa Sharia kwa Watendaji wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, kulia ni Afisa Mipango wa Kituo Bi.Safia Saleh Sultan na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Mohamed Sheikhan Mahamed, mafunzo yaliofanyika kituoni hapo.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Mohamed Sheikhan Mohamed akizfungua mafunzo ya siku...

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA, HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA YA KAMPENI YA PILI YA GOGOTA

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen Kijo-Bisimba akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Wadau…

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI-KAMPENI GOGOTA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dk.Helen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu awamu ya pili ya kampeni ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili (Kampeni Gogota). Kulia ni Mratibu wa Dawati la Katiba wa kituo hicho, Anna Henga na Mwanasheria wa Kituo hicho, Harold Sungusia.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Picha/Habari na Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu...

 

5 years ago

CCM Blog

DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE

  Na.Mwandishi Wetu-MAELEZORais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali inatekekeleza utawala bora kwa wananchi kwa kuwapatia huduma za jamii zikiwemo elimu na  afya zinazotolewa bure.
 Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...

 

10 years ago

Dewji Blog

Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno chatoa huduma ya bure katika kituo cha watoto wenye Albinism

unnamed (4)

Raisi Mstaafu wa Chama cha  Madaktari wa Kinywa na Meno na Daktari Bingwa wa Watoto  Rachel Mhavile  toka Hospitali ya Taifa  Muhimbili, akifanya ukaguzi wa kinywa na Meno kwa Kuyela Masuka, aliyeanguka toka juu ya mti nakusababisha jino lake lambele juu kushotolikawa linaninginia na kunadaktari aliye jaribu kulirudishia lakini tiba hiyo ikamshinda kwa sababu hakua amepiga mswaki vuzuri na kumsababishia kupata maambukizi na kushindwa kufumba mdomo na kutokula chakula, matibabu aliyoyapata...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.Wanahabari wakichukua taarifa hiyoWapiga picha na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KITUO cha Sheria na Haki za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani