Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR

 KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) CHATOA Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar

 Kituo cha huduma za Sheria kimetoa Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar leo hoteli ya Mazsons, Shangani, Zanzibar. Juu nia baadhi ya Mashekh wakisikiliza mada katika mkutano uliondaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar.MRATIBU wa mafunzo  ZLSC Gabriel Mkama akitoa maelekezo katika mafunzo hayo.Sheikh Khamis Abdul hamid akiwasilisha maada ya malezi ya mtoto.Afisa habari wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Suleiman Abdulla akitoa ufafanunuzi.Sheikh...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR ‘ZLSC’ CHATOA MAFUNZO KWA MAAFISA MAHAKAMA YA KADHI

Kituo cha huduma za Sheria kimetoa Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar.22 APRIL 2015,MAZSONS HOTEL SHANGANI. BAADHI ya Mashekh wakisikiliza mada katika mkutano uliondaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar MRATIBU wa mafunzo  ZLSC Gabriel Mkama akitoa maelekezo katika mafunzo hayo. Sheikh Khamis Abdul hamid akiwasilisha maada ya malezi ya mtoto. Afisa habari wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Suleiman Abdulla akitoa ufafanunuzi.Sheikh akichangia...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.

 Taswira mbalimbali za kituo cha huduma za sheria9ZLSC) kikitoa elimu ya katiba iliyopendekezwa kwa wananchi Zanzibar.


 

9 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA CHATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINAADAMU KWA VIKOSI VYA SMZ

Kamanda wa Polisi mkoa wa kusini Pemba ‘RPC’ Juma Yussuf Ali, akifungua mafunzo ya siku mbili yaliowahusisha Polisi jamii na Vikosi na Idara maalumu ya ‘SMZ’ Pemba, juu ya haki za binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, kulia ni Mratibu wa mfaunzo hayo, Khalfan Amour Mohamed, na kushoto ni mtoa mada kutoka afisi ya ‘DPP ‘Pemba Mohamed Ali JumaMratibu wa mafunzo ya haki za binadamu kwa Vikosi na Idara maalumu za SMZ, Khalfan Amour Mohamed akielezea...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA PEMBA CHATOA MAFUNZO KWA JESHI LA POLISI

Mratibu wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Tawi la Pemba Bi.Fatma Hemed Khamis akizungumzia kazi na majukumu ya Kituo hicho, kwenye mafunzo kuwatambaulisha wasaidizi wa Sharia kwa Watendaji wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, kulia ni Afisa Mipango wa Kituo Bi.Safia Saleh Sultan na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Mohamed Sheikhan Mahamed, mafunzo yaliofanyika kituoni hapo.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Mohamed Sheikhan Mohamed akizfungua mafunzo ya siku...

 

10 years ago

Vijimambo

WASAIDIZI WA SHERIA 68 WA MAJIMBO YA ZANZIBAR WATUNUKIWA VYETI

BAADHI ya watendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC, wakifuatilia hutuba iliotolewa na rais wa mahakama ya Afrika ya haki za binadamu na haki za watu, jaji Agostino Ramadhan alioitoa kwenye mahafali ya tatu ya wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Ugunja na Pemba, yaliofanyika ZSSF mjini Chake chake Pemba.MKURUGENZI mtendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZSLC, Harusi Miraji Mpatani, akielezea dhana ya wasaidizi wa sheria ilivyozaa matunda, ambayo ilianzishwa na kituo hicho...

 

9 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU NA KUWATAMBULISHA WASAIDIZI WA SHERIA KWA VIONGOZI WA DINI

 Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikhe Saleh Omar Kabii wakwanza kushoto akitoa maelezo juu ya haki za binaadamu  kwa mujibu wa Uislam wakati alipokuwa akifunguwa Mafunzo ya Haki za Binaadamu na kuwatambulisha wasaidizi wa Sheria kwa Viongozi wa Dini, katikati ni Mkurugenzi Mtendaji Harusi Miraji na mwisho Jina Mwinyi Waziri Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma na Sheria. Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini maelezo kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekhe Saleh Omar Kabii hayupo pichani katika...

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA, HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA YA KAMPENI YA PILI YA GOGOTA

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen Kijo-Bisimba akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Wadau…

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif afungua mafunzo kwa vyombo vya utekelezaji wa sheria,Zanzibar leo

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifungua mafunzo kwa vyombo vya utekelezaji wa sheria, hoteli ya Zanzibar Ocean View, Kilimani Zanzibar. Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe. Aboubakar Khamis Bakar, akizungumza katika mafunzo hayo. Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani