Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASAIDIZI WA SHERIA 68 WA MAJIMBO YA ZANZIBAR WATUNUKIWA VYETI

BAADHI ya watendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC, wakifuatilia hutuba iliotolewa na rais wa mahakama ya Afrika ya haki za binadamu na haki za watu, jaji Agostino Ramadhan alioitoa kwenye mahafali ya tatu ya wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Ugunja na Pemba, yaliofanyika ZSSF mjini Chake chake Pemba.MKURUGENZI mtendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZSLC, Harusi Miraji Mpatani, akielezea dhana ya wasaidizi wa sheria ilivyozaa matunda, ambayo ilianzishwa na kituo hicho...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR

 KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR.

 

9 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU NA KUWATAMBULISHA WASAIDIZI WA SHERIA KWA VIONGOZI WA DINI

 Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikhe Saleh Omar Kabii wakwanza kushoto akitoa maelezo juu ya haki za binaadamu  kwa mujibu wa Uislam wakati alipokuwa akifunguwa Mafunzo ya Haki za Binaadamu na kuwatambulisha wasaidizi wa Sheria kwa Viongozi wa Dini, katikati ni Mkurugenzi Mtendaji Harusi Miraji na mwisho Jina Mwinyi Waziri Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma na Sheria. Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini maelezo kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekhe Saleh Omar Kabii hayupo pichani katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa TBL Group watunukiwa vyeti vya ufanisi

Make difference 8

Mkurugenzi wa kampuni ya TBL Group,Roberto Jarrin akiwa katika picha na baadhi ya wafanyakazi waliotunukiwa tuzo ya you Make the Difference  katika kiwanda cha Dar es Salaam.

make the difference 2

Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group, Roberto Jarrin (Kushoto) akiwa na mfanyakazi wa kitengo cha ufundi wa kiwanda cha Mbeya Godwin Kambi baada ya kumtunukia cheti kwa kufanyia kazi kiwandani hao kwa kipindi cha miaka 15.Hafla  ya kuwatunuku wafanyakazi vyeti ilifanyika hivi karibuni kiwandani hapo.

make the difference 3

Margaret Simon Mlwale...

 

11 years ago

GPL

WANAMITINDO, ALLY REHMTULLA NA MARTIN KADINDA WATUNUKIWA VYETI VYA MAFANIKIO

Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania. Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous Khamsin akipozi wakati wa zoezi la kugawa vyeti na models waliovaa mavazi yaliyoonyeshwa kwenye...

 

9 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO

Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akitoa hotuba kwa Maofisa Wasaidizi wa Kisheria Magerezani kwenye hafla ya ufungaji wa Kongamano la Wasaidizi wa Sheria lililofadhiliwa na Shirika la Envirocare ambapo Kongamano hilo limefanyika kwa siku tatu kuanzia Septemba 2, 2015 Mkoani Morogoro. Washiriki wa Kongamano hilo ambao ni Maofisa wa Jeshi la Magereza kutoka Mikoa Mitano Tanzania Bara(Dar es Salaam, Tanga, Arusha, Kilimanjaro na Morogoro) wakifuatilia kwa makini...

 

9 years ago

Vijimambo

Walioteuliwa na kamati kuu ya ACT kugombea Ubunge kwa Zanzibar MAJIMBO YA TANZANIA ZANZIBAR


1KondeNdugu Masoud Suleiman Bakari2MicheweniNdugu Juma Hamad Juma3TumbeNdugu Hamad Shehe Tahir4WingwiNdugu Mbaruok Ali Khamis5GandoNdugu Suleiman Ali Hassan6KojaniNdugu Ali Makame Issa7MtambweNdugu Salim Sheha Salim8MgogoniNdugu Husna Salim Omar9WeteNdugu Hassan Abdalla Omar10ChakeNdugu Asha Bakari Mohd11ChongaNdugu Ridhiwan Khamis Nasib12OleNdugu Ali Salum Humud13WawiNdugu Jabir Maalim Jabir14ZiwaniNdugu Said Ali Said15ChambaniNdugu Sharif Bakar Othman16KiwaniNdugu Jaffar Juma...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AZINDUA MKAKATI WA USAJILI NA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO WA MWANZA

Naibu Waziri wa Katiba na sheria Mhe Ummy A. Mwalimu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mkakati wa Usajili na kutoa Vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto wenye Umri Chini ya Miaka Mitano wa Mkoa wa Mwanza. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Ummy Mwalimu akihutubia Viongozi mbalimbali wa Serikali, Vyama vya Siasa na wananchi wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa Usajili na kutoa Vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto wenye Umri chini ya Miaka Mitano Mkoa wa Mwanza. Mkakati unalenga kusogeza huduma za ...

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar yaongeza majimbo mapya 4

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salum TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya majimbo ya uchaguzi na mipaka huku ikiongeza idadi ya majimbo mapya manne.

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.

 Taswira mbalimbali za kituo cha huduma za sheria9ZLSC) kikitoa elimu ya katiba iliyopendekezwa kwa wananchi Zanzibar.


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani