Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAMITINDO, ALLY REHMTULLA NA MARTIN KADINDA WATUNUKIWA VYETI VYA MAFANIKIO

Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania. Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous Khamsin akipozi wakati wa zoezi la kugawa vyeti na models waliovaa mavazi yaliyoonyeshwa kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa TBL Group watunukiwa vyeti vya ufanisi

Make difference 8

Mkurugenzi wa kampuni ya TBL Group,Roberto Jarrin akiwa katika picha na baadhi ya wafanyakazi waliotunukiwa tuzo ya you Make the Difference  katika kiwanda cha Dar es Salaam.

make the difference 2

Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group, Roberto Jarrin (Kushoto) akiwa na mfanyakazi wa kitengo cha ufundi wa kiwanda cha Mbeya Godwin Kambi baada ya kumtunukia cheti kwa kufanyia kazi kiwandani hao kwa kipindi cha miaka 15.Hafla  ya kuwatunuku wafanyakazi vyeti ilifanyika hivi karibuni kiwandani hapo.

make the difference 3

Margaret Simon Mlwale...

 

10 years ago

Michuzi

ally rehmtulla's eleganza on march 21, 2015 @ Dar es salaam serena hotel

Ally Rehmtullah 2015 - watch LIVE online www.ar.co.tz on 21st March 2015 8pm onwards

 

10 years ago

GPL

MARTIN KADINDA KUOA SOON!

Mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda. Na Laurent Samatta
MBUNIFU wa mavazi Bongo, Martin Kadinda, amesema kuwa baada ya kuishi bachela kwa miaka mingi amepanga kuoa ‘ soon’ mwanamke ambaye ni mpenzi wake wa siku nyingi ili kumaliza maneno ya watu kuwa hajiwezi. Akizungumza na Amani, Kadinda alisema kuwa mwanamke anayemuoa si aliyezaa naye mtoto bali ni mwanamke aliyekuwa naye kwenye uhusiano kwa muda mrefu na...

 

10 years ago

Michuzi

martin kadinda apigwa kabali na 93.7 efm

SIKILIZA 93.7EFM POPOTE DUNIANI BOFYA HAPAMbunifu wa mitindo Martin Kadinda

 

11 years ago

Mwananchi

Martin Kadinda kuitambulisha ‘Supremacy’ kimataifa

>Mwezi mmoja tangu atambulishe toleo jipya la mavazi ‘Supremacy’ mbunifu wa mitindo nchini Martin Kadinda yuko mbioni kuanza ziara aliyoipa jina la Boda to Boda, kutambulisha toleo hilo kimataifa.

 

10 years ago

Vijimambo

WASAIDIZI WA SHERIA 68 WA MAJIMBO YA ZANZIBAR WATUNUKIWA VYETI

BAADHI ya watendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC, wakifuatilia hutuba iliotolewa na rais wa mahakama ya Afrika ya haki za binadamu na haki za watu, jaji Agostino Ramadhan alioitoa kwenye mahafali ya tatu ya wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Ugunja na Pemba, yaliofanyika ZSSF mjini Chake chake Pemba.MKURUGENZI mtendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZSLC, Harusi Miraji Mpatani, akielezea dhana ya wasaidizi wa sheria ilivyozaa matunda, ambayo ilianzishwa na kituo hicho...

 

11 years ago

GPL

MARTIN KADINDA: ‘KUMMENEJI’ WEMA SHUGHULI PEVU

Stori: Musa Mateja
MENEJA wa Wema Isaac Sepetu, Martin Kadinda amekiri kuwa kumsimamia ‘kummeneji’ staa huyo ni shughuli pevu kwani ana tabia ya kubadilika. Meneja wa Wema Isaac Sepetu, Martin Kadinda akiwa na na Staa huyo. Alisema Wema anahitahi hesabu kwani kuna vitu unaweza kupanga naye lakini akashindwa kutimiza kutokana na hisia zake binafsi.… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Martin Kadinda Akanusha Habari ya Wema Kupeleka Diamond Polisi

Meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martnin Kadinda amekaunsha habari ya Wema kumpeleka polisi Diamond kwa kumtapeli shilingi milioni 10, iliyochapishwa leo kwenye Gazeti la Mtanzania.

Martin amesema kuwa Wema na Diamond hawadaiani chochote na kwamba habari hizo ni za uongo. “Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa
ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani ameianzisha hiyo stori. “We don’t have any issue with...

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa

Kadinda

Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.

Kadinda

Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.

“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani