WANAMITINDO, ALLY REHMTULLA NA MARTIN KADINDA WATUNUKIWA VYETI VYA MAFANIKIO
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0549.jpg)
Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania. Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous Khamsin akipozi wakati wa zoezi la kugawa vyeti na models waliovaa mavazi yaliyoonyeshwa kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wafanyakazi wa TBL Group watunukiwa vyeti vya ufanisi
Mkurugenzi wa kampuni ya TBL Group,Roberto Jarrin akiwa katika picha na baadhi ya wafanyakazi waliotunukiwa tuzo ya you Make the Difference katika kiwanda cha Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group, Roberto Jarrin (Kushoto) akiwa na mfanyakazi wa kitengo cha ufundi wa kiwanda cha Mbeya Godwin Kambi baada ya kumtunukia cheti kwa kufanyia kazi kiwandani hao kwa kipindi cha miaka 15.Hafla ya kuwatunuku wafanyakazi vyeti ilifanyika hivi karibuni kiwandani hapo.
Margaret Simon Mlwale...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hJkuSA9OU2U/VQjuK7QLJzI/AAAAAAAHLKY/c5p16QRhpN0/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
ally rehmtulla's eleganza on march 21, 2015 @ Dar es salaam serena hotel
![](http://4.bp.blogspot.com/-hJkuSA9OU2U/VQjuK7QLJzI/AAAAAAAHLKY/c5p16QRhpN0/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
GPLMARTIN KADINDA KUOA SOON!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Atqj5FsrY4Y/VVEiQOLUxcI/AAAAAAAHWxg/MaxrsT1PFSI/s72-c/download%2B(2).jpg)
martin kadinda apigwa kabali na 93.7 efm
![](http://3.bp.blogspot.com/-Atqj5FsrY4Y/VVEiQOLUxcI/AAAAAAAHWxg/MaxrsT1PFSI/s400/download%2B(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Martin Kadinda kuitambulisha ‘Supremacy’ kimataifa
10 years ago
VijimamboWASAIDIZI WA SHERIA 68 WA MAJIMBO YA ZANZIBAR WATUNUKIWA VYETI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkgF7aJ*SSkQlbL83hLXTkj*u275b2s641kP8gnclEzIK6Zh5dUtWe09tRyhNRqERH4ooQe9L9*GC6EQKcq0*wD/KADINDA.jpg?width=650)
MARTIN KADINDA: ‘KUMMENEJI’ WEMA SHUGHULI PEVU
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Martin Kadinda Akanusha Habari ya Wema Kupeleka Diamond Polisi
Meneja wa mwigizaji Wema Sepetu, Martnin Kadinda amekaunsha habari ya Wema kumpeleka polisi Diamond kwa kumtapeli shilingi milioni 10, iliyochapishwa leo kwenye Gazeti la Mtanzania.
Martin amesema kuwa Wema na Diamond hawadaiani chochote na kwamba habari hizo ni za uongo. “Unajua tatizo ni kwamba hatujajua source ni nani,” amesema Martin. “Kwa sababu taarifa
ikishaingia kwenye social network everybody posts, kwahiyo sisi tunamtafuta nani ameianzisha hiyo stori. “We don’t have any issue with...
9 years ago
Bongo504 Jan
Martin Kadinda aeleza Tanzania ina nafasi gani katika fashion kimataifa
![Kadinda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Kadinda-300x194.jpg)
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema Tanzania imepiga hatua nzuri katika mitindo kimataifa kutokana na bidhaa nyingi za wabanifu wa Tanzania kuchangamkiwa nje ya nchi.
Kadinda ambaye alishinda tuzo ‘East African Fashion Designer of the Year’ nchini Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa ukiona Mtanzania anachukua tuzo kubwa nje ya nchi hiyo ni dalili kuwa wanafanya vizuri.
“Kitendo cha Martin Kadinda kuwa best designer wa East Africa ni tumefika sehemu nzuri kwa sababu katika East...