SMZ yajieleza kuhamisha huduma za macho Mnazi Mmoja
WIZARA ya Afya imesema huduma za kitengo cha macho kwa wagonjwa wa hospitali ya Mnazi Mmoja zimehamishwa na kupelekwa Kibweni katika hospitali ya kijeshi ya KMKM.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziPPF YATOA HUDUMA Wiki ya Utumishi Mnazi Mmoja Dar
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR KUENDELEA KUTOA HUDUMA MASAA 24-THABIT KOMBO.
Wizara ya Afya Zanzibar imesema Kitengo cha Mifupa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kinaendelea kufanya kazi zake za kutoa Matibabu Masaa 24 kama kawaida kwa kufuata utaratibu maalum uliowekwa Hospitalini hapo.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo huko katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani wakati alipokuwa akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Jaku Hashim Ayoub aliyetaka kujua...
10 years ago
VijimamboMadaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
10 years ago
MichuziJK ATEUA MKUU WA WILAYA MMOJA NA KUHAMISHA WENGINE 10 leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Anthony Peter Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, kuanzia leo, Jumatatu, Mei 25, 2015.Aidha, Rais Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa Wilaya kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa Wilaya mbali mbali nchini.Katika mabadiliko hayo, Rais Kikwete amemhamisha Luteni Edward Ole Lenga kutoka Wilaya ya Mkalama, Mkoa wa Singida kwenda kuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa, Mkoa wa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Sala ya Idd kitaifa Mnazi Mmoja
WAUMINI wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuimarisha umoja na mshikamano kwa kusimamia maadili, hususani katika kusherehekea Sikukuu ya Idd el-Fitri inayoadhimishwa kitaifa jijini Dar es Salaam, leo. Akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wapigadebe wazua vurugu Mnazi Mmoja
BAADHI ya wapigadebe wa kituo cha daladala Mnazi Mmoja, Dar es Salaam jana walizua vurugu baada ya kuwapangia abiria utaratibu wa kuingia kwenye daladala. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
11 years ago
MichuziKIKWANGUA ANGA KIPYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AFUNGUA ICU HOSPITALI YA MNAZI MMOJA,ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI