Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapigadebe wazua vurugu Mnazi Mmoja

BAADHI ya wapigadebe wa kituo cha daladala Mnazi Mmoja, Dar es Salaam jana walizua vurugu baada ya kuwapangia abiria utaratibu wa kuingia kwenye daladala. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa Algeria wazua vurugu

Mashabiki wa Algeria wazua vurugu Ufaransa na kupora baada ya ushabiki kutibuka

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana wazua vurugu Mbeya

DSC00217Na Pendo Fundisha, Mbeya
KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.
Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi, mawe na magogo kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam-Zambia katika eneo la Mwanjelwa.
Kabla ya vurugu hizo baadhi ya wafanyabiashara ambao walikuwa kwenye mgomo wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya: Wajumbe wa ODM wazua vurugu

Vurugu zimezuka katika uchaguzi wa chama kikuu cha upinzani cha ODM nchini Kenya kufuatia madai ya udanganyifu katika uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana pakubwa bungeni kufuatia mjadala mkali kuhusu mswaada tatanishi wa usalama kiasi cha kulazimisha bunge kusitisha kikao kwa muda

 

10 years ago

GPL

WAANDAMANAJI WAZUA VURUGU MJINI MISSOURI, MAREKANI

Waandamanji wakifurahia jambo baada ya kuchoma maduka wakati wa vurugu hizo. Polisi wakiwa eneo la tukio kutuliza ghasia zilizotokana na waandamanaji.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mlipuko wazua taharuki Tanga, mmoja ashikiiliwa

Polisi Mkoani Tanga inamshikilia mmiliki wa banda la wazi la kuonyesha video, eneo la Amboni Kata ya Chumbageni jijini Tanga kwa mahojiano baada ya kutokea mlipuko wa kitu kinachodhaniwa ni bomu la kutengeneza kienyeji katika eneo lake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sala ya Idd kitaifa Mnazi Mmoja

WAUMINI wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kuimarisha umoja na mshikamano kwa kusimamia maadili, hususani katika kusherehekea Sikukuu ya Idd el-Fitri inayoadhimishwa kitaifa jijini Dar es Salaam, leo. Akizungumza na...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA

Muuguzi wa Zamu katika Hopitali kuu ya Mnazi Mmoja wodi ya Watoto Bibi Mary Jadi akimuelezea Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar balozi Seif msongamano wa watoto wanaoungua moto ambao hulazimika kulazwa wagonjwa watatu kwa kitgand kimoja.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Mtoto mgonjwa Nasrya Kombo aliyelazwa Hospitali kuu ya Mnazi mmoja baada ya kuungua kiwa moto.Pembeni ya Balozi Seif ni Muuguzi wa Zamu katika Hopitali kuu ya Mnazi Mmoja wodi ya Watoto Bibi...

 

11 years ago

Michuzi

KIKWANGUA ANGA KIPYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM

Kikwangua anga kipya katika barabara ya Lumumba na pembeni mwa Busatani ya Mnazi Mmoja garden jijini Dar es salaam ambalo limelipiku jengo konge la Ushirika (juu kulia) ambalo miaka ya nyuma ndilo lilikuwa linaongoza kwa urefu jijini Dar es salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani