Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAANDAMANAJI WAZUA VURUGU MJINI MISSOURI, MAREKANI

Waandamanji wakifurahia jambo baada ya kuchoma maduka wakati wa vurugu hizo. Polisi wakiwa eneo la tukio kutuliza ghasia zilizotokana na waandamanaji.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wafanya vurugu Uturuki

Maelfu ya waandamanaji waliokuwa wakipepea bendera za Uturuki wamevamia makao makuu ya chama kikuu cha Kikurdi cha HDP.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wafanya vurugu St.Louis

Waandamanaji wamefanya vurumai na vitendo vya uporaji jimboni St Louis

 

10 years ago

GPL

VURUGU: POLISI WAPAMBANA NA WAANDAMANAJI HONG KONG

Polisi wakielekea kuwakabili waandamanaji mjiini Hong Kong. Polisi wakimtia nguvuni mmoja wa waandamanaji.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa Algeria wazua vurugu

Mashabiki wa Algeria wazua vurugu Ufaransa na kupora baada ya ushabiki kutibuka

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana wazua vurugu Mbeya

DSC00217Na Pendo Fundisha, Mbeya
KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.
Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi, mawe na magogo kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam-Zambia katika eneo la Mwanjelwa.
Kabla ya vurugu hizo baadhi ya wafanyabiashara ambao walikuwa kwenye mgomo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapigadebe wazua vurugu Mnazi Mmoja

BAADHI ya wapigadebe wa kituo cha daladala Mnazi Mmoja, Dar es Salaam jana walizua vurugu baada ya kuwapangia abiria utaratibu wa kuingia kwenye daladala. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya: Wajumbe wa ODM wazua vurugu

Vurugu zimezuka katika uchaguzi wa chama kikuu cha upinzani cha ODM nchini Kenya kufuatia madai ya udanganyifu katika uchaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mswada tata wazua vurugu bungeni Kenya

Wabunge wa Kenya wametofautiana pakubwa bungeni kufuatia mjadala mkali kuhusu mswaada tatanishi wa usalama kiasi cha kulazimisha bunge kusitisha kikao kwa muda

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU KANSAS CITY, MISSOURI NCHINI MAREKANI

Diamond Platnumz prezda wa wasafi akifanya makamuzi Kansas City siku ya Jumapili July 6, 2014 katika kukamulisha sherehe za uhuru wa Marekani  onesha lake likihudhuriwa na mashabiki wa Afrika Mashariki wakiwemo wazawa kibao waliojitokeza kumuunga mkono.Diamond Platnumz akiendelea na makamuzi ndani huku akiwa amezungukwa na mashabiki wa Kansas City na wenggine wakiwa wamesafiri kutoka majimbo ya jirani.Mashabiki wa Diamond Platnumz wakicheza pamoja nae wakati prezda wa wasafi akiendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani