Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamanaji wafanya vurugu St.Louis

Waandamanaji wamefanya vurumai na vitendo vya uporaji jimboni St Louis

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wafanya vurugu Uturuki

Maelfu ya waandamanaji waliokuwa wakipepea bendera za Uturuki wamevamia makao makuu ya chama kikuu cha Kikurdi cha HDP.

 

10 years ago

GPL

VURUGU: POLISI WAPAMBANA NA WAANDAMANAJI HONG KONG

Polisi wakielekea kuwakabili waandamanaji mjiini Hong Kong. Polisi wakimtia nguvuni mmoja wa waandamanaji.…

 

10 years ago

GPL

WAANDAMANAJI WAZUA VURUGU MJINI MISSOURI, MAREKANI

Waandamanji wakifurahia jambo baada ya kuchoma maduka wakati wa vurugu hizo. Polisi wakiwa eneo la tukio kutuliza ghasia zilizotokana na waandamanaji.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wafanya vurugu mkutano wa CUF

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wafuasi wao wanadaiwa kuvamia eneo la mkutano uliokuwa umeandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF), eneo la Buguruni jijini Dar es Salaam kwa ajili...

 

11 years ago

Habarileo

Wabeba mizigo wafanya vurugu kubwa Kibaigwa

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David MisimeWABEBA mizigo wa Soko Kuu la Mazao la Kibaigwa juzi wakiwa na vijana wanaokadiriwa 300 walifanya fujo kwa kufunga barabara kuu ya Dodoma – Morogoro kwa mawe na kuchoma matairi huku wakipiga mawe magari yaliyokuwa yakipita barabarani.

 

10 years ago

Habarileo

Wastaafu wafanya vurugu kushinikiza pensheni zao

WASTAAFU kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, walifanya vurugu katika ofisi ya Wizara ya Fedha (Hazina) juzi baada ya kutolipwa pensheni zao za Oktoba na kushinikiza wapatiwe stahiki zao kwa wakati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa UN wawaua waandamanaji 3

Ripoti kutoka Mali zinasema kuwa walinda amani wa umoja wa mataifa wamewafyatulia risasi waandamanaji na kuwaua watu watatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yawaonya waandamanaji

Serikali ya Burundi imewaonya watakaofanya maandamano nchini humo kupinga rais wa sasa watachukuliwa hatua kama wachochezi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji washambuliwa Bangkok

Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani