Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa UN wawaua waandamanaji 3

Ripoti kutoka Mali zinasema kuwa walinda amani wa umoja wa mataifa wamewafyatulia risasi waandamanaji na kuwaua watu watatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha

Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen

Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 47 Nigeria

Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa katika soko moja kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno ambapo watu 47 wamefariki huku wengine 55 wakijeruhiwa katika mji wa sabon gari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkanyagano hatari wawaua 11 Zimbabwe

Watu 11 wamefariki katika mkanyagano nchini Zimbabwe baada ya maombi yaliyoongozwa na muhibiri Walter Magaya katika uwanja wa soka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Walipuaji wawaua watu 7 Cameroon

Takriban watu saba wameuawa na walipuaji wa kujitolea muhanga kaskazini mwa Cameroon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugonjwa wa tauni wawaua 40 Madagascar

Mlipuko wa ugonjwa wa tauni nchini Madagascar umewaua watu 40 na kuwaathiri takriban wengine 80

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad

Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu

Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua 17 Maiduguri,Nigeria

Watu 17 wameuawa mwenye mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari mjini Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani