Ugonjwa wa tauni wawaua 40 Madagascar
Mlipuko wa ugonjwa wa tauni nchini Madagascar umewaua watu 40 na kuwaathiri takriban wengine 80
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmXYQAzb0NpQ8nRYUpia6GrhIPF3SNxIEiYFWeIX42s0YhPGEB2RV22dhskvUktfO6YRWVnVAfMqrKsDmwVF8Vt/mpekepeke.jpg?width=650)
OHOOO… ETI MWANA ANAWEKA HESHIMA TAUNI!
Saluti kwa wakali wangu wote mnaotupiamo hapa jamvini. Inakuwaje kitaa cha pili hapo? Nawasoma ileile wazazi. Kama vipi mizinguo tupa kule tulisongeshe. Ama nini! Basi mia! Oyaaa…masela sijui ni kwa saidi yangu, bati naona kama hili laifu linakwenda fasta kinomanoma na vitu vinachenji kwiki. Unaambiwa ukweli wa tudei ni uwongo wa tumoro. Umeona eeh... Ninaposema laifu limechenji namaanisha kwamba kuna michongo ya kizamani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xrh8yI_wRvY/XpAXiykiMeI/AAAAAAALmtU/llzGrJ0VfZolgZgemmYs1BnrwzKsH245QCLcBGAsYHQ/s72-c/Budin-Newton.jpg)
ISAAC NEWTON; PROFESA ALIYETUMIA VYEMA MUDA WAKATI WA JANGA LA TAUNI KUGUNDUA NADHARIA ZA KISAYANSI
Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWAKA 1665 kulitokea mlipuko wa ugonjwa wa Tauni uliojulikana zaidi kama "Black Death" nchini Uingereza hali iliyopelekea shule, vyuo na huduma mbalimbali za kijamii kuzuiliwa kwa muda kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya Tauni kama inavyofanyika sasa ambapo dunia inakabiliwa na mlipuko wa virusi vya Corona (Covid-19.)
Wakati huo Isaac Newton alikuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cambridge na hakuwa Profesa na alilazimika kurudi nyumbani kati ya mwaka 1665...
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wanajeshi wa UN wawaua waandamanaji 3
Ripoti kutoka Mali zinasema kuwa walinda amani wa umoja wa mataifa wamewafyatulia risasi waandamanaji na kuwaua watu watatu.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s72-c/AFYA.jpg)
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s640/AFYA.jpg)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu
Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen
Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha
Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad
Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Mlipuko wawaua 17 Maiduguri,Nigeria
Watu 17 wameuawa mwenye mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari mjini Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania