Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa tauni wawaua 40 Madagascar

Mlipuko wa ugonjwa wa tauni nchini Madagascar umewaua watu 40 na kuwaathiri takriban wengine 80

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OHOOO… ETI MWANA ANAWEKA HESHIMA TAUNI!

Saluti kwa wakali wangu wote mnaotupiamo hapa jamvini. Inakuwaje kitaa cha pili hapo? Nawasoma ileile wazazi. Kama vipi mizinguo tupa kule tulisongeshe. Ama nini! Basi mia! Oyaaa…masela sijui ni kwa saidi yangu, bati naona kama hili laifu linakwenda fasta kinomanoma na vitu vinachenji kwiki. Unaambiwa ukweli wa tudei ni uwongo wa tumoro. Umeona eeh... Ninaposema laifu limechenji namaanisha kwamba kuna michongo ya kizamani...

 

5 years ago

Michuzi

ISAAC NEWTON; PROFESA ALIYETUMIA VYEMA MUDA WAKATI WA JANGA LA TAUNI KUGUNDUA NADHARIA ZA KISAYANSI


 Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWAKA 1665 kulitokea mlipuko wa ugonjwa wa Tauni uliojulikana zaidi kama "Black Death" nchini Uingereza hali iliyopelekea shule, vyuo na huduma mbalimbali za kijamii kuzuiliwa kwa muda kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya Tauni kama inavyofanyika sasa ambapo dunia inakabiliwa na mlipuko wa virusi vya Corona (Covid-19.)
Wakati huo Isaac Newton alikuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cambridge na hakuwa Profesa na alilazimika  kurudi nyumbani kati ya mwaka 1665...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa UN wawaua waandamanaji 3

Ripoti kutoka Mali zinasema kuwa walinda amani wa umoja wa mataifa wamewafyatulia risasi waandamanaji na kuwaua watu watatu.

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu

Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen

Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha

Wakaazi nchini Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad

Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua 17 Maiduguri,Nigeria

Watu 17 wameuawa mwenye mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari mjini Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani