ISAAC NEWTON; PROFESA ALIYETUMIA VYEMA MUDA WAKATI WA JANGA LA TAUNI KUGUNDUA NADHARIA ZA KISAYANSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xrh8yI_wRvY/XpAXiykiMeI/AAAAAAALmtU/llzGrJ0VfZolgZgemmYs1BnrwzKsH245QCLcBGAsYHQ/s72-c/Budin-Newton.jpg)
Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWAKA 1665 kulitokea mlipuko wa ugonjwa wa Tauni uliojulikana zaidi kama "Black Death" nchini Uingereza hali iliyopelekea shule, vyuo na huduma mbalimbali za kijamii kuzuiliwa kwa muda kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya Tauni kama inavyofanyika sasa ambapo dunia inakabiliwa na mlipuko wa virusi vya Corona (Covid-19.)
Wakati huo Isaac Newton alikuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cambridge na hakuwa Profesa na alilazimika kurudi nyumbani kati ya mwaka 1665...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Oct
Mr Blue aliacha uigizaji baada ya kugundua anapoteza tu muda
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Uzazi wakati wa janga la corona
5 years ago
MichuziSALAMU KATIKA PICHA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. George Simbachawene, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
5 years ago
BBCSwahili23 May
Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pgDB_b1khkE/XtPjFLK9vjI/AAAAAAALsKQ/3OBIJwRaXEgi3MhLXblvAyD2WAhdQ5AmwCLcBGAsYHQ/s72-c/UMAG4VXMGRG2ZENFYMK4TAJC6Q.jpg)
MIAKA 102 ILIYOPITA, MASHABIKI WAKIANGALIA MPIRA WAKATI WA JANGA LA SPANISH FLU
![](https://1.bp.blogspot.com/-pgDB_b1khkE/XtPjFLK9vjI/AAAAAAALsKQ/3OBIJwRaXEgi3MhLXblvAyD2WAhdQ5AmwCLcBGAsYHQ/s640/UMAG4VXMGRG2ZENFYMK4TAJC6Q.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NI miaka 102 sasa tangu Thomas Carter mwanafunzi wa Georgia aliyekuwa akichukua shahada ya uhandisi kuchukua picha iliyowaonesha mashabiki wakiwa wanatazama mpira katika kipindi cha mlipuko wa homa kali ya mafua (Spanish Flu) mwaka 1918.
Picha hiyo ambayo inasambaa kwa kasi wakati huu ambao shughuli mbalimbali zikirejea duniani ikiwemo michezo na hiyo ni mara baada upepo mkali wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) kupiga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8428.jpg)
BrighterMonday Tanzania yazindua kampeni ya ‘Umoja Wakati wa Shida’ kusaidia Waajiri Kukabiliana na Athari za Janga la Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_8428.jpg)
Kampeni hii inalenga kuwezesha uendelevu wa juhudi za makampuni na biashara kwa kuziwesesha kufanya udahili na kuajiri watendaji sahihi ili kuongeza ufanisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s72-c/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s640/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f39496bc-01a4-4591-a8ab-17393cc498ca.jpg)
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f5ccf190-c862-4551-b8ae-0477f46a625d.jpg)
Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OBbSQlEfliE/default.jpg)