BrighterMonday Tanzania yazindua kampeni ya ‘Umoja Wakati wa Shida’ kusaidia Waajiri Kukabiliana na Athari za Janga la Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8428.jpg)
Kampuni ya uajiri na usimamizi wa rasilimali watu ya BrighterMonday Tanzania imeanzisha programu iitwayo ‘Umoja Wakati wa Shida’ inayotoa nafasi kwa waajiri (makampuni na watu binafsi) kutangaza kazi kwenye tovuti yao bure kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo, wakati ambao taifa linakabiliana na janga la maradhi ya virusi vya Corona.
Kampeni hii inalenga kuwezesha uendelevu wa juhudi za makampuni na biashara kwa kuziwesesha kufanya udahili na kuajiri watendaji sahihi ili kuongeza ufanisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wgXsEeuJdfk/Xp6OEQosbbI/AAAAAAALnrc/LShHFuL7PSsIrSza13UIbHYmJiQvoQV7QCLcBGAsYHQ/s72-c/Reshma.jpeg)
BrighterMonday Tanzania yaja na suluhisho kwa waajiri wakati huu wa mlipuko wa corona
Mlipuko wa homa kali ya mapafu, COVID-19 au Virus via Corona, umeleta athari katika nyanja mbalimbali za kiuchumi kote duniani, ikiwemo sekta ya ajira. Baadhi ya makampuni yamelazimika kupunguza idadi ya waajiriwa, mengine yakilazimika kufunga biashara na uzalishaji, huku mengine yakisaidia juhudi za seriali na hata sekta binafsi kukabiliana na matokeo ya mlipuko wa virusi vya Corona ili kusaidia kurudisha mataifa katika kawaida ya uzalishaji.
Hapa Tanzania, makampuni Mengi yamechangia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s72-c/Reshma.jpeg)
BRIGHTERMONDAY TANZANIA YAJA NA MPANGO KUSAIDIA BIASHARA KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s640/Reshma.jpeg)
Reshma Bharmal-Shariff, Ofisa Mtendaji Mkuu BrighterMonday Tanzania.
KAMPUNI ya ajira ya BrighterMonday Tanzania imezindua mpango unaoitwa 'Umoja Wakati wa Shida ' ambao utatoa nafasi kwa watu binafsi au kampuni kutangaza ajira bure katika kipindi hiki ambacho nchi inapambana na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wake, Reshma Bharmal-Shariff ilieleza kuwa kampeni hiyo inalenga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s72-c/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s640/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f39496bc-01a4-4591-a8ab-17393cc498ca.jpg)
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f5ccf190-c862-4551-b8ae-0477f46a625d.jpg)
Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Pesa za kukabiliana na janga la virusi vya corona zinatoka wapi?
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Uzazi wakati wa janga la corona
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Virusi vya corona: Shirika la fedha duniani kukabiliana na janga kiuchumi