Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-3

Naendelea kuelezea tatizo la uvimbe katika njia ya haja kubwa, lengo likiwa ulifahamu kwa kina na ujue dalili na namna ya kuliepuka. Uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. Wengi wanaona uvimbe lakini wanaona ni kama kitu cha kawaida na wanapata maumivu ya vimbe hizo bado wanavumilia. Naomba ufahamu kuwa si kawaida kuwa na uvimbe katika tundu la haja kubwa. Uvimbe huo ni dalili za kuwa mhusika ana Bawasiri hivyo ni vema...

 

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-2

Wiki iliyopita tulianza kupeana elimu juu ya tatizo la kuota kijinyama katika njia ya haja kubwa (bawasiri). Tuliangalia chanzo cha ugonjwa huu na nikawapa ushauri kwamba ukiona una tatizo hilo ni vema ukawa huru maana ni ugonjwa wa kawaida na unatibika kama magonjwa mengine. Hivyo ni vema ukawahi katika vituo vya tiba ili upate matibabu mapema na kuepukana na adha za ugonjwa husika. Leo tutaangalia dalili za ugonjwa huu wa...

 

10 years ago

GPL

LIFAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)-4

MpendwA msomaji ningependa kukukumbusha mada ya wiki iliyopita kabla sijaendelea na mada ya leo.
 Wiki iliyopita tuliangalia tatizo la Bawasiri au ugonjwa wa kuota kijinyama katika njia ya haja kubwa na tulijikita katika dalili za ugonjwa huu. Leo  tutaangalia matibabu ya ugonjwa huu wa katika pande zote mbili za matibabu, yaani tiba asili na tiba za kizungu.
Matibabu ya dawa za hospitali au dawa za kizungu yamekuwa na...

 

10 years ago

GPL

MTOTO AZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA

Joseph Ngilisho, Arusha
MTOTO Salma Omary (3) mkazi wa Banda Mbili, Sombetini jijini hapa, anaishi kwa  mateso makali baada ya kuzaliwa akiwa hana sehemu ya haja kubwa, hali iliyolazimu kujisaidia kupitia tundu lililotobolewa tumboni kwake.Mama mzazi wa mtoto huyo, Mariamu Andrea (28) aliliambia gazeti hili kuwa zinahitajika kiasi cha shilingi milioni moja ili aweze kutibiwa katika hospitali ya KCMC mjini Moshi na kuwa mzazi...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SURUA-2

Vidonda hivi huitwa Koplik spots. Hii ni dalili tosha ya kuthibitisha uwepo wa surua.
Lakini vilevile mgonjwa anaweza kuwa na vipele vidogo sana ambavyo inaweza kukuwia vigumu kutambua. Vipele hivi huweza kuonekana vizuri siku mbili baadaye hasa sehemu za usoni au nyuma ya sikio na kushuka chini kabla ya kutapakaa mwili mzima. Vipele hivi hupotea baada ya siku saba na kuacha ngozi iliyobabuka. Hata hivyo, kukohoa kunaweza...

 

11 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA HERNIA

Kuna magonjwa ya hernia ya aina nyingi kama zile ziitwazo kitaalamu inguinal, umbilical, femoral, epigastric, incisional, inguinal hernia  na diaphragmatic hernia. Lakini watu wengi hukumbwa na hernia iitwayo inguinal hernia ambayo hutokeza karibu kabisa na sehemu ya siri ambako hapa kimrija kinachochukua mbegu za kiume kutoka kwenye korodani na kuingia kwenye tumbo na kuingia kwenye kiungo cha kiume. Hapa panaweza kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu ugonjwa wa kiharusi

Moja ya changamoto za kiafya zenye matokeo mabaya zaidi tunazoshuhudia kwa sasa hapa Tanzania ni maradhi yatokanayo na changamoto zinazotokea kwenye mfumo wa damu.

 

11 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA MAGOTI NA KIUNO (OSTEOARTHRITIS)

Ugonjwa wa maumivu katika magoti au kiuno kitaalamu huitwa Osteoarthritis.
Ugonjwa huu huwapata watu wengi hasa wenye unene wa kupita kiasi au wazee. Osteoarthritis ina maana magonjwa ya viungo vya mwili kiujumla, lakini hasa hushambulia magoti na kiuno.Ni ugonjwa wa muda mrefu na kusababisha uharibifu wa minofu migumu myeupe katika magoti, au kitaalamu huitwa cartilage articular. Ugonjwa huu umekuwa wa kawaida kwa watu wengi,...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-3

Kitaalamu dawa za kutibu saratani hii imegawanyika katika makundi mawili ipo iitwayo Vincristin, ya pili ni Methotrexate na dawa nyingine inayofahamika kama Cytarabin. Dawa nyingine ambayo ni muhimu sana huitwa Cyclophosphamide. Daktari akimuona mgonjwa anaweza kumpa dawa kwa kupitia njia ya mishipa ya damu pia ipo dawa ambayo mgonjwa hupewa kupitia uti wa mgongo. Kundi la pili la dawa zinazotumika kutibu saratani hii lina dawa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani