MTOTO AZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA
![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4YAZBcFwEjkc2jMx-sfQ16xHfc2z9VhCHcn91LEbYlDDctR8ZgyifZyF3ge7Weyox*WUpCbDiTeovgOqqY9ih8/ee.gif?width=650)
Joseph Ngilisho, Arusha MTOTO Salma Omary (3) mkazi wa Banda Mbili, Sombetini jijini hapa, anaishi kwa mateso makali baada ya kuzaliwa akiwa hana sehemu ya haja kubwa, hali iliyolazimu kujisaidia kupitia tundu lililotobolewa tumboni kwake.Mama mzazi wa mtoto huyo, Mariamu Andrea (28) aliliambia gazeti hili kuwa zinahitajika kiasi cha shilingi milioni moja ili aweze kutibiwa katika hospitali ya KCMC mjini Moshi na kuwa mzazi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mtoto azaliwa bila pua
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLKrbTsLCIdL2Av5cPR5*HQMbXYwanimjTvxrekfSRdJwvQllV*PIVNAWWd1KCYqyQ*jmQxsGCcG7bfuln1S4SD/d.jpg?width=650)
MTOTO AZALIWA BILA UBONGO WA NYUMA!
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s72-c/AFYA.jpg)
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s640/AFYA.jpg)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRNsHh3LOXKS02nalheiyGYDKTtJjheltGg0zeXN8xUU44Xp8edpkJdNpepdnKVFkqvYXvimxVjjXh-UTE7PL-G/mungumsaidie.jpg)
MTOTO MIAKA 3 AJISAIDIA HAJA KUBWA KWA NJIA YA MDOMO
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mtoto mkubwa azaliwa Marekani
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Mtoto wa ajabu azaliwa Dar
![Hospitali ya Mwananyamala](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mwananyamala-hospitali.jpg)
Hospitali ya Mwananyamala
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MTOTO wa ajabu anayedaiwa kuzaliwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam ameibua mjadala mkubwa katika jamii.
Taarifa zilizoenea jana katika mitandao ya kijamii zilionyesha picha ya sura ya mtoto huyo akiwa na umbo la binadamu, lakini macho yake na sura akiwa anafanana na chura.
MTANZANIA ilifika katika Hospitali ya Mwananyamala na kukuta taarifa zikiwa zimezagaa kuhusu tukio hilo linalovuta hisia za watu.
Inadaiwa mtoto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0KloqqPy0yP115sLCv4CmO4rg4JWSJxIdBn05il0XN18TfaFu1jMlzmEI8OAW5bJsTQDG9J*BHkeFE6ENB-jY09/11.gif?width=650)
MTOTO WA AJABU AZALIWA SHINYANGA
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Mtoto azaliwa kutokana na mayai yaliohifadhiwa
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa