Mtoto mkubwa azaliwa Marekani
Mwanamke mmoja nchini Marekani amejifungua mtoto mwenye uzito wa paundi 14.1 sawa na kilo 6.4kg.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MTOTO MKUBWA AZALIWA NCHINI MAREKANI
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Avery mtoto mkubwa kuliko kawaida nchini Marekani

Bi Maxx zandra Ford amepata mtoto aliyempa jina Avery, ndiye mtoto mkubwa na mzito kuwahi kuzaliwa katika hospitali ya wanawake ya mtakatifu Joseph iliyoko Tampa, Florida.Avery, alizaliwa kwa njia ya kawaida .Ford alikuwa hajatanabahi kuwa yu mjamzito mpaka alipotimiza wiki 35 .lakini mara baada ya kuwa anaongezeka uzito kupita...
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Mtoto wa ajabu azaliwa Dar

Hospitali ya Mwananyamala
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MTOTO wa ajabu anayedaiwa kuzaliwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam ameibua mjadala mkubwa katika jamii.
Taarifa zilizoenea jana katika mitandao ya kijamii zilionyesha picha ya sura ya mtoto huyo akiwa na umbo la binadamu, lakini macho yake na sura akiwa anafanana na chura.
MTANZANIA ilifika katika Hospitali ya Mwananyamala na kukuta taarifa zikiwa zimezagaa kuhusu tukio hilo linalovuta hisia za watu.
Inadaiwa mtoto...
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mtoto azaliwa bila pua
10 years ago
GPL
MTOTO WA AJABU AZALIWA SHINYANGA
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Mtoto azaliwa kutokana na mayai yaliohifadhiwa
11 years ago
BBCSwahili04 Oct
Mtoto wa kizazi cha 'msaada' azaliwa
10 years ago
GPL
MTOTO AZALIWA BILA UBONGO WA NYUMA!