Avery mtoto mkubwa kuliko kawaida nchini Marekani
Mwanamke mmoja nchini Marekani amejifungua mtoto mwenye uzito wa paundi 14.1 sawa na kilo 6.4kg na sasa mtoto huyo anakula mara mbili zaidi ya uwezo wa mtoto mchanga .
Bi Maxx zandra Ford amepata mtoto aliyempa jina Avery, ndiye mtoto mkubwa na mzito kuwahi kuzaliwa katika hospitali ya wanawake ya mtakatifu Joseph iliyoko Tampa, Florida.Avery, alizaliwa kwa njia ya kawaida .Ford alikuwa hajatanabahi kuwa yu mjamzito mpaka alipotimiza wiki 35 .lakini mara baada ya kuwa anaongezeka uzito kupita...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM-bQLsvnMPFFDsnGOB4VsuDOQBltLDhbxA908miD1yiIPla7ImqZZX87JcRa83rr3NYuqEUO479Tl6-JW3HN4B/mtoto.jpg?width=650)
MTOTO MKUBWA AZALIWA NCHINI MAREKANI
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mtoto mkubwa azaliwa Marekani
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Eeim4PzvVaI/VC7ZqAMqV_I/AAAAAAAAR2g/OalSdQKoKwI/s72-c/10.jpg)
KINANA AANDIKA HISTORIA TANGA AFANYA MKUTANO KUBWA ULIOJAA KULIKO KAWAIDA
Awaambia wana Tanga uchumi wao upo kwenye bandari na treniAsisitiza kuwajibika kwa viongozi walioshindwa kutimiza malengo yaoAwataka wananchi kuchagua viongozi bora ambao wataheshimu mawazo yao kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Eeim4PzvVaI/VC7ZqAMqV_I/AAAAAAAAR2g/OalSdQKoKwI/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M8LvUejpf0Y/VC7ZpuWmbqI/AAAAAAAAR2c/8N_q5WoXBX0/s1600/11.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUBWA WA NENO LA MUNGU WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI WATOTO WATENGEWA SEHEMU YAO.
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA UTARAJIO WA MTOTO YA MARRISA SILVER SPRING, MARYLAND NCHINI MAREKANI.
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bkRGK8_6IEA/UxrR5XihF1I/AAAAAAAAhZ0/Dj9FRfIW5Zg/s1600/IMG-20140308-WA0002.jpg?width=640)
MAMA MKUBWA WA MTOTO ALIYEUNGUA MOTO ATOWEKA NA MTOTO HUYO KUSIKO JULIKANA.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zO-7nkS0Xoc/XlkvqaDIDvI/AAAAAAACH9Y/Cd-ra3zMIlExj6x7TNe4oa95kYDzia55ACLcBGAsYHQ/s72-c/m%2B%25287%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA LEO UJENZI WA MSIKITI UTAKAOKUWA MKUBWA KULIKO YOTE TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zO-7nkS0Xoc/XlkvqaDIDvI/AAAAAAACH9Y/Cd-ra3zMIlExj6x7TNe4oa95kYDzia55ACLcBGAsYHQ/s400/m%2B%25287%2529.jpg)
Ikulu Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli leo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Kinondoni Jijini Dar es Salaam ambao utakuwa...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida
WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni
Jenerali Ulimwengu