MKUTANO MKUBWA WA NENO LA MUNGU WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI WATOTO WATENGEWA SEHEMU YAO.
Watoto wakiwa sehemu yao chini ya uangalizi maalumu huku wazazi wao wakihudhuria mkutano mkubwa wa neno la Mungu unaondelea DMV kwa siku nne ikiwa leo Jumampili April 19, 2015 ndio hitimisho la mkutano huo.
Watoto wakiangalia vipindi vya watoto kwenye luninga.
Msimamizi wa watoto Tanya Muganda akielekeza jambo.
Tanya Muganda akiwapatia zawadi watoto
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTASWIRA MBALIMBALI MKUTANO WA JIONI WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI
Mchungaji Geoffrey Mbwana ambaye pia ni makamu wa Rais wa Wasabato Duniani akielezea hali ya kanisa lilivyo leo huku pia akiongoza kuimbisha nyimbo mbalimbali kwenye mkutano mkubwa wa neno la Mungu wa Wasabato Watanzania waishio nchini Marekani uliofanyika mida ya jioni siku ya Jumamosi April 18, 2015 Silver Spring, Maryland.
Mchungaji Celeb Migomvbo akielezea somo la wanandoa na vitu gani vya kuepeka vinavyosababisha kuvunja mahusiano ya wapendanao.
Maliyatabu mmoja ya waratibu wa mkutano...
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA WASABATO WAISHIO NCHINI MAREKANI
Mchungaji Wilbert Nfubhusa akihubiri kwenye mkutano mkubwa wa neno la Mungu wa Wasababto waishio nchini Marekani uliofanyika siku ya Jumamosi April 18, 2015 Silver Spring, Maryland. Kulia ni Michael Mwasumbi akitafsiri mahubiri kwa lugha ya Kiingereza.Mkutano huu umehudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali wakiwemo wengine kutoka Tanzania.
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/5aOVgzxih34/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
11 years ago
Michuzi03 Aug
11 years ago
GPL20 Feb
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/hU23kC0DHLw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s72-c/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)