MKUTANO WA TUNDU LISSU NA WATANZANIA WAISHIO ALABAMA MAREKANI
![](https://img.youtube.com/vi/5aOVgzxih34/default.jpg)
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/hU23kC0DHLw/default.jpg)
10 years ago
VijimamboTASWIRA MBALIMBALI MKUTANO WA JIONI WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI
Mchungaji Geoffrey Mbwana ambaye pia ni makamu wa Rais wa Wasabato Duniani akielezea hali ya kanisa lilivyo leo huku pia akiongoza kuimbisha nyimbo mbalimbali kwenye mkutano mkubwa wa neno la Mungu wa Wasabato Watanzania waishio nchini Marekani uliofanyika mida ya jioni siku ya Jumamosi April 18, 2015 Silver Spring, Maryland.
Mchungaji Celeb Migomvbo akielezea somo la wanandoa na vitu gani vya kuepeka vinavyosababisha kuvunja mahusiano ya wapendanao.
Maliyatabu mmoja ya waratibu wa mkutano...
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUBWA WA NENO LA MUNGU WA WASABATO WATANZANIA WAISHIO NCHINI MAREKANI WATOTO WATENGEWA SEHEMU YAO.
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s72-c/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)
11 years ago
Michuzi03 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cYs8pLHNfJk/Xs4gV1hu7cI/AAAAAAALrrc/mvjxL8_n144ZvtcDP7pA3YzVLbDrp5e_ACLcBGAsYHQ/s72-c/eb67e3af-90ea-438d-b28c-26d9c90f56c0.jpg)
Muwakilishi wa Watanzania waishio Marekani wafanya ziara ya gereza la isanga Dodoma
Alhaj Issihaka Kibodya muwakilishi wa Watanzania waishio marekani na ustadh Sefu Jongo toka Masjid Noor barabara ya 9 hapa Dodoma walifanya juhudi ya kuwasiliana na gereza la Isanga hapa Dodoma na kupata mahitaji ya wafungwa wa kiislaam na taratibu ya kupeleka dawa, vifaa tiba, sabuni na dawa za mswaki.
Pichani ustadh Sefu Jongo kushoto, Alhaj Issihaka Kibodya katikati wakimkabidhi mkuu wa Gereza la Isanga afande SSP Fredrick Wambura na pembeni yake ni Dr. Pantaleo mganga Mkuu wa Gereza la...
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYs8pLHNfJk/Xs4gV1hu7cI/AAAAAAALrrc/mvjxL8_n144ZvtcDP7pA3YzVLbDrp5e_ACLcBGAsYHQ/s640/eb67e3af-90ea-438d-b28c-26d9c90f56c0.jpg)
11 years ago
CloudsFM05 Aug
OMMY DIMPOZ AKWEA PIPA KWENDA MAREKANI KUWABURUDISHA WATANZANIA WAISHIO HUKO
STAA wa ngoma ya Ndagushima,Omar Nyembo, Mr. Poz Kwa Poz,leo anaelekea nchini Marekani kwa ajili ya Ndagushima Night, shoo ambayo imeandaliwa maalum kwa ajili ya watanzania watakaokuwa wamemaliza mkutano na rais Jakaya Kikwete jijini Houston Marekani.
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA WASABATO WAISHIO NCHINI MAREKANI
Mchungaji Wilbert Nfubhusa akihubiri kwenye mkutano mkubwa wa neno la Mungu wa Wasababto waishio nchini Marekani uliofanyika siku ya Jumamosi April 18, 2015 Silver Spring, Maryland. Kulia ni Michael Mwasumbi akitafsiri mahubiri kwa lugha ya Kiingereza.Mkutano huu umehudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali wakiwemo wengine kutoka Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania