OMMY DIMPOZ AKWEA PIPA KWENDA MAREKANI KUWABURUDISHA WATANZANIA WAISHIO HUKO
STAA wa ngoma ya Ndagushima,Omar Nyembo, Mr. Poz Kwa Poz,leo anaelekea nchini Marekani kwa ajili ya Ndagushima Night, shoo ambayo imeandaliwa maalum kwa ajili ya watanzania watakaokuwa wamemaliza mkutano na rais Jakaya Kikwete jijini Houston Marekani.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6ptvZueye0kPfdoKT2fg1DItgjkG3Wn*Eou*NZSgy6-QXkxKPrK9WVvNw5unIu5NWME4YPpt*ZNgK9sDX0cRp6G/11.gif?width=650)
Ndumbaro akwea pipa kwenda Fifa kumshitaki Wambura
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.
Zari
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VBl95B5X10*3YG1TtwiiPlA1m9yUxXtAD-M*f2hmaDazbjBUF4GdyCHfkfRQUuM8Ii30IF5n0RLzGD7jGAqprJ/OMMY2.jpg)
OMMY DIMPOZ AFUNGUKIA KUKAMATWA MAREKANI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/diamond-23.jpg)
DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!
9 years ago
Bongo517 Oct
Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini
10 years ago
CloudsFM13 Aug
OMMY DIMPOZ AZITOSA SHOO ZA MAREKANI NA KURUDI BONGO KWA AJILI FIESTA
STAA wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz Kwa Poz hivi karibuni aliondoka Bongo na kuelekea nchini Marekani kupiga shoo mbili, baada ya kumaliza mchongo huo kwa mafanikio makubwa akapata mashavu mengine kadhaa ya kuendelea kupiga shoo pande zile lakini ameamua kuzitosa na kurudi Bongo kwa ajili ya tamasha la #Serengetifiesta 2014 ambayo itafanyika Ijumaa hii ndani ya uwanja wa Kaitaba.
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo530 Dec
Exclusive: Ommy Dimpoz aliwahi kulala jela Marekani, hii ni sababu (Video)
![12301302_781657848613350_1077518386_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301302_781657848613350_1077518386_n-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz amewahi kun*ea ndoo za gereza la Marekani.
Ni lini na kwasababu gani? Dimpoz amefunguka kwenye exclusive interview na Bongo5.
“Sikuwahi katika maisha yangu kufikiria kama ipo siku nitalala jela,” anasema. “Nililala jela kabisa na kubadilisha nguo kabisa nikavaa zile za orange, yaani kama Prison Break unavyoiona ile movie,” ameeleza.
Ommy Dimpoz amesema yote hayo yalitokea miezi kadhaa iliyopita alipokuwa ameenda Marekani kutumbuiza.
“Kosa lilikuwa kwamba nilikuwa naenda kwenye...
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...