Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo

12071024_1489877797975917_850313823_nOmmy Dimpoz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards zilizofanyika Jumamosi hii huko New Jersey, Marekani. Ommy Dimpoz, Mubenga na DMK wakiwa red carpet Ommy aliyetumbuiza pia kwenye tuzo hizo alishinda kipengele cha People’s Choice Award. Kufuatia ushindi huo, muimbaji huyo aliandika kwenye Instagram, “ Thank you my people for your Votes U made this Possible […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Ommy Dimpoz, Eddy Kenzo na Amani waungana kuimba wimbo wa Les Wanyika ‘Sina Makosa’

Weekend iliyopita Ommy Dimpoz alisafiri hadi jijini Kampala, Uganda, kuungana na mshindi wa tuzo za BET, Eddy Kenzo kwenye tamasha lake kubwa lililopewa jina la ‘Mbilo Mbilo Concert.’ Ommy alitumbuiza nyimbo zake kadhaa ukiwemo Baadaye ambao alisikika akiwaambisha waganda. Ommy akiwa na Eddy Kenzo Baadaye Eddy Kenzo, Amani na Ommy Dimpoz walipanda jukwaani pamoja kutumbuiza […]

 

9 years ago

Bongo5

Mc Galaxy wa Nigeria aingia studio kurekodi na producer Swizz Beatz (Video)

MC-Galaxy and Swizz Beatz

Siku za hivi karibuni producer maarufu wa Marekani Swizz Beatz na mkewe Alicia Keyz wamekuwa wakipost video clips kwenye mitandao ya kijamii wakifurahia nyimbo za wasanii wa Afrika zikiwemo kazi za Diamond, MC Galaxy, Wizkid na wengine.

MC-Galaxy and Swizz Beatz

Mc Galaxy ameingia studio jijini New York, marekani kurekodi nyimbo mpya na producer huyo wa kimataifa Swizz Beatz ikiwemo remix ya wimbo wake ‘Sekem’.

MC Galaxy alipost picha akiwa studio na Swizz kwenye akaunti yake ya Instagram.

Katika video ya Swizz...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma

Tuzo za African Muzik Magazine Awards, Afrimma zinatarajiwa kutolewa Jumamosi hii Oct. 10 jijini Dallas, Texas Marekani ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii saba. Baadhi ya wasanii wa Tanzania wanaowania tuzo hizo akiwemo Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz tayari wameondoka nchini kuelekea Marekani kuhudhuria sherehe ya utoaji wa tuzo hizo. “Asante Sana Tanzania nyie wapenzi […]

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA

 Eddy Kenzo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe. Mashabiki wa Kenzo wakimlaki kwa shangwe. Kenzo akilia machozi ya furaha wakati wa mapokezi…

 

11 years ago

Bongo5

Makamua kuingia studio na Ommy Dimpoz

Mkali Kwanza, Makamua amesema anatarajia kuingia studio na Ommy Dimpoz ili kuaanda wimbo wake mpya. Akizungumza na kipindi cha The cruise cha East Africa Radio, Makamua amesema kuwa katika ngoma hiyo yeye binafsi ameshaingiza vocal na anamsubiri Ommy akamilishe sehemu yake. “Ngoma inayofuata nafanya na Ommy Dimpoz na nimeshafanya na nimeshaongea na Ommy na nadhani […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon

Mwimbaji wa wa Uganda, Eddy Kenzo ambaye yuko kwenye ziara ya muziki nchini Marekani, amekutana na star wa movie Jean-Claude Van Damme. Eddy Kenzo akiwa na Van Damme Star huyo wa ‘Sitya Loss’ amepost picha akiwa na muigizaji huyo mkongwe na kumshukuru kwa kukutana naye, na kuongeza kuwa atampeleka Uganda soon. “Thank you for everything […]

 

10 years ago

Bongo5

Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert

Msanii wa Uganda aliyeshinda tuzo ya 2015 BET Viewer’s Choice Best International Artist, Eddy Kenzo ametoa maelezo ya kwanini alikabidhiwa tuzo yake kwenye Red Carpet. Licha ya kuwa wasanii wa Afrika na UK wamekuwa wakibaguliwa kwenye tuzo hizo kwa kupewa tuzo zao muda tofauti kabla ya tukio lenyewe, lakini mambo yalikuwa tofauti zaidi kwa msanii […]

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel watajwa kuwania tuzo za BEFFTA 2015 za UK

Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel ni miongoni mwa wasanii wa Afrika Mashariki waliotajwa kuwania tuzo za ‘Black Entertainment, Film, Fashion, Television and Arts Awards’ (BEFFTA 2015) za Uingereza. Wasanii hao wanawania kipengele cha ‘Best International African Act’ wakiwa na wasanii wengine wa Afrika ambao ni Davido, Wizkid, Sarkordie, P Square, Timaya […]

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mwandishi Wetu MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu nchini Marekani, Risasi Jumamosi limevujishiwa na lina mchapo kamili. Chanzo makini kilichoshuhudia sakata hilo lililotokea hivi karibuni nchini Marekani kulipokuwa na hafla ya utoaji wa tuzo za Afrimma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani