Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
Ommy Dimpoz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards zilizofanyika Jumamosi hii huko New Jersey, Marekani. Ommy Dimpoz, Mubenga na DMK wakiwa red carpet Ommy aliyetumbuiza pia kwenye tuzo hizo alishinda kipengele cha People’s Choice Award. Kufuatia ushindi huo, muimbaji huyo aliandika kwenye Instagram, “ Thank you my people for your Votes U made this Possible […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Aug
Video: Ommy Dimpoz, Eddy Kenzo na Amani waungana kuimba wimbo wa Les Wanyika ‘Sina Makosa’
9 years ago
Bongo510 Nov
Mc Galaxy wa Nigeria aingia studio kurekodi na producer Swizz Beatz (Video)
Siku za hivi karibuni producer maarufu wa Marekani Swizz Beatz na mkewe Alicia Keyz wamekuwa wakipost video clips kwenye mitandao ya kijamii wakifurahia nyimbo za wasanii wa Afrika zikiwemo kazi za Diamond, MC Galaxy, Wizkid na wengine.
Mc Galaxy ameingia studio jijini New York, marekani kurekodi nyimbo mpya na producer huyo wa kimataifa Swizz Beatz ikiwemo remix ya wimbo wake ‘Sekem’.
MC Galaxy alipost picha akiwa studio na Swizz kwenye akaunti yake ya Instagram.
Katika video ya Swizz...
9 years ago
Bongo508 Oct
Picha: Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz waenda Marekani kwenye tuzo za Afrimma
10 years ago
GPLMSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA
11 years ago
Bongo505 Jul
Makamua kuingia studio na Ommy Dimpoz
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon
10 years ago
Bongo510 Jul
Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert
9 years ago
Bongo513 Oct
Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel watajwa kuwania tuzo za BEFFTA 2015 za UK
9 years ago
GPLDIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!