Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon

Mwimbaji wa wa Uganda, Eddy Kenzo ambaye yuko kwenye ziara ya muziki nchini Marekani, amekutana na star wa movie Jean-Claude Van Damme. Eddy Kenzo akiwa na Van Damme Star huyo wa ‘Sitya Loss’ amepost picha akiwa na muigizaji huyo mkongwe na kumshukuru kwa kukutana naye, na kuongeza kuwa atampeleka Uganda soon. “Thank you for everything […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Shilole, Eddy Kenzo wa Uganda Penzi Jipya

Kwa sasa ni dhahiri kabisa penzi la Shilole na Nuh Mziwanda limefika mwisho baada Shishi kumtambulisha mpenzi wake mpya msanii,Eddy Kenzo kutoka nchini Uganda.

eddy_kenzo

‘’Nuh hanipendi Eddy Kenzo ndio ananipenda,ameniimbia wimbo nilikuwa sijui,naomba mjue kuwa ndiye mchumba wangu mpya,’’Alisema Shilole.

‘’Eddy Kenzo amenipenda tangu zamani lakini nilikuwa nikimpuuzia tu maskini ameonyesha upendo wake kwangu hadi kaimba wimbo kwa ajili yangu unajua sio kitu kidogo msanii mkubwa Afrika kuniimbia wimbo...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jean-Claude Van Damme alivyo tembelea clabu ya Manchester City

dame1

Nyota wa Hollywood Jean-Claude Van Damme alitembelea mazoezi ya klabu ya Manchester City. Staa huyo wa Hollywood yupo jijini Manchester kwa ajili ya shughuli ya ‘black-tie dinner’ ambapo atapata nafasi ya kuoneshwa kwa movie zake.siku ya Alhamisi na kupiga picha na wachezaji, wakiwemo Wabelgiji wenzake Vincent Kompany na Kevin De Bruyne na wachezaji kama Yaya Toure, Sergio Aguero na hata kocha Manuel Pellegrini kupiga picha na gwiji huyo wa miaka ya 80.

2E9B927C00000578-3325905-The_80s_action_movie_hero_poses_for_a_picture_with_Belgian_compa-m-11_1447959922108

2E9B971E00000578-3325905-image-a-5_1447959538287

2E9B934600000578-3325905-image-a-8_1447959792555

2E9B945600000578-3325905-image-a-20_1447960070642

2E9B977000000578-3325905-image-a-10_1447959881627

2E9B924D00000578-3325905-image-a-23_1447960227983

dame7

dame1

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA

 Eddy Kenzo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe. Mashabiki wa Kenzo wakimlaki kwa shangwe. Kenzo akilia machozi ya furaha wakati wa mapokezi…

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo

12071024_1489877797975917_850313823_nOmmy Dimpoz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards zilizofanyika Jumamosi hii huko New Jersey, Marekani. Ommy Dimpoz, Mubenga na DMK wakiwa red carpet Ommy aliyetumbuiza pia kwenye tuzo hizo alishinda kipengele cha People’s Choice Award. Kufuatia ushindi huo, muimbaji huyo aliandika kwenye Instagram, “ Thank you my people for your Votes U made this Possible […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Eddy Kenzo – Soraye

soraye

Staa kutoka Nchini Uganda Eddy Kenzo ametoa video mpya ya wimbo wake “Soraye”, wimbo huu upo kwenye album yake ya “Zero To Hero”. Video imetayarishwa na Patrick Elis.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Eddy Kenzo releases victory song ‘Very good’ after winning BET Award

When you work really hard at something for a long time, it is worthy to celebrate the achievement, right? And that is exactly what Bet Award winner Eddy Kenzo from Uganda did. Eddy Kenzo (left) To prove to the world that the Uganda’s first ever bet award he won makes him a champion, Eddy Kenzo […]

 

10 years ago

Vijimambo

EDDY KENZO (UG) KUFANYA SHOW KALI KATIKA JIJI LA WAJANJA OAKLAND - CALIFORNIA

 Edrisa Musuuza a.k.a Eddy Kenzo was born in Masaka, a town in the central region of Uganda. He lost his mother at age 5 and would go on to live a street life for 13 years. After high school, he adopted the stage name Eddy Kenzo and began writing music. In 2008, he was featured in the popular song “Yanimba” by Mikie Wine.His breakthrough 2010 song, “Stamina”, was met with critical acclaim and was used as a theme song for Yoweri Museveni’s presidential campaign. He released the album Ogenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani