Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert

Msanii wa Uganda aliyeshinda tuzo ya 2015 BET Viewer’s Choice Best International Artist, Eddy Kenzo ametoa maelezo ya kwanini alikabidhiwa tuzo yake kwenye Red Carpet. Licha ya kuwa wasanii wa Afrika na UK wamekuwa wakibaguliwa kwenye tuzo hizo kwa kupewa tuzo zao muda tofauti kabla ya tukio lenyewe, lakini mambo yalikuwa tofauti zaidi kwa msanii […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA

 Eddy Kenzo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe. Mashabiki wa Kenzo wakimlaki kwa shangwe. Kenzo akilia machozi ya furaha wakati wa mapokezi…

 

10 years ago

GPL

YEMI AELEZA SABABU YA KUWASHAMBULIA WAANDAJI WA TUZO ZA BET

Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Yemi Alade. Lagos Nigeria BAADA ya mwimbaji maarufu wa Nigeria, Yemi Alade, maarufu kama  Jonny Crooner kutokana na wimbo wake, kushindwa katika mpambano wa Tuzo za BET nchini Marekani, amewashambulia waandaji wa mashindano hayo kwamba hawakuwafanyia haki waimbaji kutoka Afrika. “Kusema ukweli Waafrika hatutendewi haki kama wenzetu kutoka mabara mengine,” alisema mwimbaji huyo mrembo...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Eddy Kenzo releases victory song ‘Very good’ after winning BET Award

When you work really hard at something for a long time, it is worthy to celebrate the achievement, right? And that is exactly what Bet Award winner Eddy Kenzo from Uganda did. Eddy Kenzo (left) To prove to the world that the Uganda’s first ever bet award he won makes him a champion, Eddy Kenzo […]

 

10 years ago

Bongo5

Photos: The 1 billion mansion that BET winner Ugandan Eddy Kenzo acquired recently

Ugandan singer, Edrisa Musuuza known professionally by his stage name Eddy Kenzo, is among top Ugandan artists who are living large at the moment. Eddy Kenzo (2nd left) His music is not that popular in Tanzania, but of course he is that big in Uganda as he won the BET ‘Viewer’s Choice Best New International […]

 

9 years ago

Bongo5

Nay Wa Mitego aeleza sababu za kwanini hajaitoa collabo yake na Runtown wa Nigeria

nay true boy

Kuna kipindi Nay Wa Mitego alitangaza kuwa ana mpango wa kuanza kujitambulisha kwenye soko la kimataifa, kwa kufanya collabo na wasanii wa nje pamoja na kushoot video nje ya Tanzania pia.

nay true boy

Katika mahojiano ya siku za nyuma na Bongo5, Nay alisema tayari amekamilisha collabo na msanii wa Nigeria, Runtown, na alikuwa kwenye mipango ya kutafuta uwezekano wa kufanya kazi na Wizkid an D’Banj.

Wiki hii Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Nyumbani Kwetu’, hata kama hujausikia sina haja ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Diamond uso kwa uso na Nelly kwenye red carpet ya tuzo za BET nchini Marekani

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platinumz a.k.a Rais wa wasafi leo amepost picha akisalimiana na msanii wa muziki wa kufokafoka wa nchini Marekani Nelly kwenye red carpet wakati wa sherehe za tuzo za BET ambapo ameandika hivi ” Kupata Fursa ya kushare treatment, kunetwork na kubadili ideas na Wasanii ambao ulikuwa ukiwaona tangu mtoto unakua, na tangu unaanza muziki haujui utoke vipi… kiukweli ni jambo ambalo linatia Moyo na nguvu sana ili uzidi...

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo

12071024_1489877797975917_850313823_nOmmy Dimpoz ameshinda tuzo ya African Entertainment Awards zilizofanyika Jumamosi hii huko New Jersey, Marekani. Ommy Dimpoz, Mubenga na DMK wakiwa red carpet Ommy aliyetumbuiza pia kwenye tuzo hizo alishinda kipengele cha People’s Choice Award. Kufuatia ushindi huo, muimbaji huyo aliandika kwenye Instagram, “ Thank you my people for your Votes U made this Possible […]

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel watajwa kuwania tuzo za BEFFTA 2015 za UK

Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel ni miongoni mwa wasanii wa Afrika Mashariki waliotajwa kuwania tuzo za ‘Black Entertainment, Film, Fashion, Television and Arts Awards’ (BEFFTA 2015) za Uingereza. Wasanii hao wanawania kipengele cha ‘Best International African Act’ wakiwa na wasanii wengine wa Afrika ambao ni Davido, Wizkid, Sarkordie, P Square, Timaya […]

 

11 years ago

GPL

RED CARPET YA TUZO ZA BET 2014

NeYo akipozi kwenye Red Carpet. Claudia Jordan.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani