Eddy Kenzo aeleza sababu za kwanini BET walimkabidhi tuzo yake kwenye Red Carpert
Msanii wa Uganda aliyeshinda tuzo ya 2015 BET Viewer’s Choice Best International Artist, Eddy Kenzo ametoa maelezo ya kwanini alikabidhiwa tuzo yake kwenye Red Carpet. Licha ya kuwa wasanii wa Afrika na UK wamekuwa wakibaguliwa kwenye tuzo hizo kwa kupewa tuzo zao muda tofauti kabla ya tukio lenyewe, lakini mambo yalikuwa tofauti zaidi kwa msanii […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRP9FWTtOcyz7X4z1QkXOKwc-5NPH*DDsUcWHnXN26l*7HVWsP8i1EvnIPRAR7qN2B-Hh2C8CSi6dlOOic3lKQ99/KENZO1.jpg?width=650)
MSHINDI WA TUZO YA BET, EDDY KENZO ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE NCHINI UGANDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaarbwCuiUK8fyZp-PYA-C9hplaWi8G*25ZM76xhZnYu5ekPSeFqCKZVo0sRYpjTffQMUy2galGMjr08vfYapTAqm/yemi.jpg?width=650)
YEMI AELEZA SABABU YA KUWASHAMBULIA WAANDAJI WA TUZO ZA BET
10 years ago
Bongo530 Jun
New Music: Eddy Kenzo releases victory song ‘Very good’ after winning BET Award
10 years ago
Bongo529 Jun
Photos: The 1 billion mansion that BET winner Ugandan Eddy Kenzo acquired recently
9 years ago
Bongo520 Nov
Nay Wa Mitego aeleza sababu za kwanini hajaitoa collabo yake na Runtown wa Nigeria
![nay true boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nay-true-boy-300x194.jpg)
Kuna kipindi Nay Wa Mitego alitangaza kuwa ana mpango wa kuanza kujitambulisha kwenye soko la kimataifa, kwa kufanya collabo na wasanii wa nje pamoja na kushoot video nje ya Tanzania pia.
Katika mahojiano ya siku za nyuma na Bongo5, Nay alisema tayari amekamilisha collabo na msanii wa Nigeria, Runtown, na alikuwa kwenye mipango ya kutafuta uwezekano wa kufanya kazi na Wizkid an D’Banj.
Wiki hii Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Nyumbani Kwetu’, hata kama hujausikia sina haja ya...
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/10377548_761233197231830_1716468337113105179_n.jpg)
Diamond uso kwa uso na Nelly kwenye red carpet ya tuzo za BET nchini Marekani
Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platinumz a.k.a Rais wa wasafi leo amepost picha akisalimiana na msanii wa muziki wa kufokafoka wa nchini Marekani Nelly kwenye red carpet wakati wa sherehe za tuzo za BET ambapo ameandika hivi ” Kupata Fursa ya kushare treatment, kunetwork na kubadili ideas na Wasanii ambao ulikuwa ukiwaona tangu mtoto unakua, na tangu unaanza muziki haujui utoke vipi… kiukweli ni jambo ambalo linatia Moyo na nguvu sana ili uzidi...
9 years ago
Bongo502 Nov
Ommy Dimpoz ashinda tuzo Marekani, aingia studio kurekodi na Eddy Kenzo
![12071024_1489877797975917_850313823_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12071024_1489877797975917_850313823_n-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo513 Oct
Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel watajwa kuwania tuzo za BEFFTA 2015 za UK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-77BC7mKm-L0hPiKYn7prqxRVmChX4iSc1NNBZeW6VRZP4MU6Y7sZLHlY0yQo0ejX0XPEuFm63kjA*e6Ugx6jwS/NeYo_arrives_at_the_BET_Awards.jpg?width=450)