Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond uso kwa uso na Nelly kwenye red carpet ya tuzo za BET nchini Marekani

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platinumz a.k.a Rais wa wasafi leo amepost picha akisalimiana na msanii wa muziki wa kufokafoka wa nchini Marekani Nelly kwenye red carpet wakati wa sherehe za tuzo za BET ambapo ameandika hivi ” Kupata Fursa ya kushare treatment, kunetwork na kubadili ideas na Wasanii ambao ulikuwa ukiwaona tangu mtoto unakua, na tangu unaanza muziki haujui utoke vipi… kiukweli ni jambo ambalo linatia Moyo na nguvu sana ili uzidi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wizkid na Davido uso kwa uso kwenye tuzo za MOBO 2015 za Uingereza, hakuna msanii wa Tanzania

Kama ilivyokuwa mwaka jana, mastaa wa Nigeria Wizkid na Davido wamekutanishwa tena kwenye tuzo za MOBO 2015 (Music Of Black Origin) za Uingereza, wakiwania kipengele kimoja cha ‘Best African Act’. Wasanii wengine wanaochuana nao kwenye kipengele hicho ni Fuse ODG (Ghana), Patoranking (Nigeria), Moelogo, Yemi Alade (Nigeria), Aka (South Africa), Mista Silva, Shatta Wale (Ghana) […]

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ ALIOVYOTAMBA KATIKA BET RED CARPET HUKO MAREKANI

Hapa Diamond aligeuka nakukuta aliye mvuta koti ni Nelly ambaye alimwambia congratulations.Camrea yetu ilimpata Platnum katika poz hili
Picha iliyotamba kwenye Blogs za marekani jana -Diamond katika Poz la Kisheria Ngowi. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Bongo5

Diva uso kwa uso na rapper wa Marekani B.o.B, Jumamosi hii

20151209210051

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse atakutana na rapper wa Marekani, Bobby Ray Simmons, Jr. maarufu kama B.o.B jijini Nairobi, Kenya Jumamosi hii.

20151209210051

Rapper huyo atatumbuiza Nairobi kwenye show ya Jameson Live Party 2015.

Diva amechaguliwa kuwa mmoja wa watu watakaokutana naye kutokana na kuwa na impact kubwa kwenye redio nchini.

“I am so excited,” ameiambia Bongo5.

“B.o.B ni moja kati ya list ya wasanii wa Marekani ambao I listen too. Namuona on BET, Grammys na kwingine, so I can’t wait...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba, Lupita Nyong’o uso kwa uso Marekani

Hitmaker wa Mwana na balozi wa WildAid, Alikiba anatarajia kusafiri kuelekea nchini Marekani akiwa na mabalozi wenzake kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika kwaajili ya kutambulishwa pamoja. Kiba ameiambia Clouds E ya Clouds TV kuwa safari hiyo pia itampa uwanja mpana wa kujuana na watu wapya. “Tuweze kutambulika kidunia kama mabalozi kutokea Afrika na global icon […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond uso kwa uso na watoto watatu wa mpenzi wa zamani wa Zari

diamond na watoto wa zari

Diamond Platnumz ameamua kuudhihirishia ulimwengu kuwa licha ya kuwa mama wa mtoto wake, Zarinah Tlale alimkuta na watoto watatu wa baba mwingine, lakini hilo halimzuii kuhang na watoto hao ambao baba yao ni Ivan Ssemwanga.

diamond na watoto wa zari

Akiwa Uganda weekend iliyopita Diamond na Zari walipost picha za familia ambapo kwenye moja ya picha hizo Diamond amepiga akiwa Zari na binti yao Tiffah na watoto wengine wa zari, na kusindikiza na caption ya kijembe.

diamond na watoto wa zari-2

“Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond akanusha kuwalipisha pesa wanaotaka kumuona Tiffah uso kwa uso

Kwa umaarufu alionao mtoto wa Diamond na Zari, Latiffah Nasib Abdul au kama baba yake anavyopenda kumuita Tiffah, ni wazi kwamba mashabiki wengi wa staa huyo wangependa kumuona ama kumbeba mtoto huyo aliyejipatia umaarufu toka siku yake ya kwanza duniani. Hiyo inatokana pia na uamuzi wa wazazi wake kutomuonesha mapema sura yake hadi Jumapili iliyopita, […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, PENNY USO KWA USO

Musa Mateja na Imelda Mtema
Ule usemi wa kwamba milima haikutani, binadamu hukutana umejidhihirisha baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, kukutana uso kwa uso na aliyekuwa mchumba’ke, Penniel Mwigilwa ‘Penny’ kwenye shughuli ya 40 ya mtoto wa mwigizaji, Aunt Ezekiel hivyo kupata fursa ya kukumbushia enzi zao. Aliyekuwa mchumba’ke Diamond Penniel Mwigilwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani