Diamond uso kwa uso na Nelly kwenye red carpet ya tuzo za BET nchini Marekani
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/10377548_761233197231830_1716468337113105179_n.jpg)
Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platinumz a.k.a Rais wa wasafi leo amepost picha akisalimiana na msanii wa muziki wa kufokafoka wa nchini Marekani Nelly kwenye red carpet wakati wa sherehe za tuzo za BET ambapo ameandika hivi ” Kupata Fursa ya kushare treatment, kunetwork na kubadili ideas na Wasanii ambao ulikuwa ukiwaona tangu mtoto unakua, na tangu unaanza muziki haujui utoke vipi… kiukweli ni jambo ambalo linatia Moyo na nguvu sana ili uzidi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Oct
Wizkid na Davido uso kwa uso kwenye tuzo za MOBO 2015 za Uingereza, hakuna msanii wa Tanzania
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hxbbVsFrNmE/U7O6pz052vI/AAAAAAAAPms/sDfpaaDTNDs/s72-c/1404122109616.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ALIOVYOTAMBA KATIKA BET RED CARPET HUKO MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hxbbVsFrNmE/U7O6pz052vI/AAAAAAAAPms/sDfpaaDTNDs/s1600/1404122109616.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eS9Sy0v9GHo/U7O6sa3P45I/AAAAAAAAPnU/B68YXwAQT8s/s1600/1404173048016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AtDXQT3k84o/U7O6spKwM8I/AAAAAAAAPnY/hCA9vR3A7Os/s1600/1404173168153.jpg)
11 years ago
Michuzi14 Jul
9 years ago
Bongo510 Dec
Diva uso kwa uso na rapper wa Marekani B.o.B, Jumamosi hii
![20151209210051](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151209210051-300x194.jpg)
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse atakutana na rapper wa Marekani, Bobby Ray Simmons, Jr. maarufu kama B.o.B jijini Nairobi, Kenya Jumamosi hii.
Rapper huyo atatumbuiza Nairobi kwenye show ya Jameson Live Party 2015.
Diva amechaguliwa kuwa mmoja wa watu watakaokutana naye kutokana na kuwa na impact kubwa kwenye redio nchini.
“I am so excited,” ameiambia Bongo5.
“B.o.B ni moja kati ya list ya wasanii wa Marekani ambao I listen too. Namuona on BET, Grammys na kwingine, so I can’t wait...
9 years ago
Bongo522 Oct
Alikiba, Lupita Nyong’o uso kwa uso Marekani
9 years ago
Bongo521 Dec
Picha: Diamond uso kwa uso na watoto watatu wa mpenzi wa zamani wa Zari
![diamond na watoto wa zari](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-watoto-wa-zari-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kuudhihirishia ulimwengu kuwa licha ya kuwa mama wa mtoto wake, Zarinah Tlale alimkuta na watoto watatu wa baba mwingine, lakini hilo halimzuii kuhang na watoto hao ambao baba yao ni Ivan Ssemwanga.
Akiwa Uganda weekend iliyopita Diamond na Zari walipost picha za familia ambapo kwenye moja ya picha hizo Diamond amepiga akiwa Zari na binti yao Tiffah na watoto wengine wa zari, na kusindikiza na caption ya kijembe.
“Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho...
9 years ago
Bongo522 Sep
Diamond akanusha kuwalipisha pesa wanaotaka kumuona Tiffah uso kwa uso
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHmXNI-tCTrZ9*X-EISOuDBE32yA6o7Jw7RAh7V28pwIGrI9pjkFpqF8Scv*tt76U4pOt0bb8Wab5R3B4aMB3qd31k7qtq0J/BACKWIKIENDA.gif?width=650)
DIAMOND, PENNY USO KWA USO