Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.
Zari
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Nov
DIAMOND KUFANYA ONESHO KWENYE WHITE PARTY YA ZARI UGANDA
![zari diamond4](http://www.redpepper.co.ug/wp-content/uploads/2014/11/zari-diamond4.jpg)
Zari alikua na Diamond kwenye tuzo za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZuO2ZL-Ns7GdKAcEtaqqCP5wUsDv*Axd4WaSpCweQT5xgDF4w1HKDv8pnxQboZNNzySpiXOvrix6szLO*YuXfL/zariparty1.jpg?width=600)
DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ALL WHITE CIROCPARTY ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA
9 years ago
Bongo Movies22 Dec
Diamond Afunguka Kutotokea Kwenye Zari All White Party, Adai Hamwogopi Ivan
Diamond Platnumz alikuwepo, Kampala, Uganda usiku ambao Zari alikuwa akifanya party yake ya All White lakini hakutokea. Ex wa Zari, Ivan Ssemwanga na wapambe wake walikuwepo. Watu walihisi kuwa Diamond aliogopa kwenda kumpa kampani mama wa mtoto wake Tiffah ili kuepusha shari na kambi ya Rich Gang ya Ivan.
![Diamond Akiwa na Zari](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond87.jpg)
Diamond Akiwa na Zari
Hata hivyo muimbaji huyo wa Utanipenda amedai kuwa hakukacha party hiyo bali makubaliano aliyokuwa nayo na promota wa show yake ya Ijumaa (siku moja baada ya all...
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Diamond Platnumz kuzindua Tv yake kwenye Zari White Party,Mlimani City,Ijumaa hii
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz anatarajia kuzindua tv yake kwenye Zari White Party itakayofanyika Ijumaa hii pande za Mlimani City,Mwenge,jijini Dar.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6ptvZueye0kPfdoKT2fg1DItgjkG3Wn*Eou*NZSgy6-QXkxKPrK9WVvNw5unIu5NWME4YPpt*ZNgK9sDX0cRp6G/11.gif?width=650)
Ndumbaro akwea pipa kwenda Fifa kumshitaki Wambura
11 years ago
CloudsFM05 Aug
OMMY DIMPOZ AKWEA PIPA KWENDA MAREKANI KUWABURUDISHA WATANZANIA WAISHIO HUKO
STAA wa ngoma ya Ndagushima,Omar Nyembo, Mr. Poz Kwa Poz,leo anaelekea nchini Marekani kwa ajili ya Ndagushima Night, shoo ambayo imeandaliwa maalum kwa ajili ya watanzania watakaokuwa wamemaliza mkutano na rais Jakaya Kikwete jijini Houston Marekani.
10 years ago
TheCitizen08 May
When Zari-Diamond painted the city white
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Diamond kuwa mgeni rasmi ‘Zari All White Ciroc’