Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ALL WHITE CIROCPARTY ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda. Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND KUFANYA ONESHO KWENYE WHITE PARTY YA ZARI UGANDA

zari diamond4Imethibitika rasmi kwamba Diamond atafanya onesho kwenye white party ya Zari inayotegemewa kufanyika Desemba 18, 2014 jijini Kampala nchini Uganda kwa mujibu wa mtandao wa Boss Lady kwenye ukurasa wake wa facebook ameandika kwa Diamond kuwa mgeni rasmi na hiki ndicho alichoandika Zari kwenye ukurasa wake wa facebook “Proud to announce Diamond Platinumz is our official guest artist at the ‪ Zari All White Ciroc Party. White is always pure, fab & classy,”

Zari alikua na Diamond kwenye tuzo za...

 

10 years ago

CloudsFM

Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari

Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.Zari

 

9 years ago

Global Publishers

Zari ‘All White Ciroc Party’ yafunika Kampala

12354028_634235383383477_2132529986_nMpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa katika gari kuelekea katika usiku shoo yake ya  All White Ciroc Party iliyofanyika jana usiku kwenye club Guvnor jijin Kampala.

ZARI345Zari akipanda gari.

ZARI734 ZARI834

Zari akiwa katika picha ya pamoja na mashabiki zake.

ZARI0923

Wakiendelea kujiachia.

ZARI234Wakiwa katika ubora wao.

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala

Hizi ni baadhi ya picha za Zari All White Ciroc Party  iliyofanyika jana usiku kwenye club Guvnor jijin Kampala.

Zari ambaye ni mpenzi wa Diamond Platinumz ndiye muhusika mkuu wa party hii ambapo watu maarufu  wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.

Zari All White Ciroc Party

Zari All White Ciroc Party

ZARI8912 ZARI834 ZARI234 ZARI734 Picha Kutoka @zarithebosslady on Instagram

 

10 years ago

Africanjam.Com

TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI

Tweet

Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ZANZIBAR

MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' Zanzibar. Wakiendelea kufanya yao.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond afunika Kampala, Uganda

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo pichani).

9 …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uu

Diamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda, staa wa muziki wa Bongo Fleva,...

 

10 years ago

TheCitizen

When Zari-Diamond painted the city white

It was billed as the party of the year, one that brought East Africa’s power couple Zari and Diamond in the public glare for the first time.

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond afunika Kampala, Uganda jana

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo  pichani).

9  …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uuDiamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda,  staa wa muziki wa Bongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani