Diamond afunika Kampala, Uganda jana
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.
Diamond akiimba kwa hisia.
Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.
…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo pichani).
…Akicheza sambamba na madansa wake.
…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Diamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.
USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda, staa wa muziki wa Bongo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Diamond afunika Kampala, Uganda
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.
Diamond akiimba kwa hisia.
Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.
…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo pichani).
…Akicheza sambamba na madansa wake.
…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.
Diamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.
USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda, staa wa muziki wa Bongo Fleva,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZuO2ZL-Ns7GdKAcEtaqqCP5wUsDv*Axd4WaSpCweQT5xgDF4w1HKDv8pnxQboZNNzySpiXOvrix6szLO*YuXfL/zariparty1.jpg?width=600)
DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ALL WHITE CIROCPARTY ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
Wema Na Diamond Wafurahia Usiku Mmoja Jijini Kampala,Uganda
Usiku wa jana tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama 1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.
Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana matukio hayo kama ifuatavyo;
Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
DIAMOND APOKELEWA KWA MBWEMBWE UGANDA JANA
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa ndege jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.
Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsH*IcfUmu*aogX-GlACFH0e-FVXLu5*ucQF7izPGQ35O3JatWFrL6C6aaPZgsbUc6Xkdg4kQ654cgh2p2vyvxK/10831760_1518195745097755_183207238_n.jpg)
ZARI AMPOKEA DIAMOND KWA SHANGWE UGANDA JANA
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Picha: Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala
Zari ambaye ni mpenzi wa Diamond Platinumz ndiye muhusika mkuu wa party hii ambapo watu maarufu wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.
![Zari All White Ciroc Party](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI345.jpg)
Zari All White Ciroc Party
![ZARI8912](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI8912.jpg)
![ZARI834](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI834.jpg)
![ZARI234](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI234.jpg)
![ZARI734](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ZARI734.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74919000/jpg/_74919944_uganda2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HgqWNXzbnNA/VZgpFgQ1z6I/AAAAAAAHm5s/qMoq0ZOoC2g/s72-c/Kikosi-cha-Taifa-Stars1.jpg)
TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HgqWNXzbnNA/VZgpFgQ1z6I/AAAAAAAHm5s/qMoq0ZOoC2g/s640/Kikosi-cha-Taifa-Stars1.jpg)
9 years ago
Michuzi03 Sep
THE 1ST MANUFACTURING BUSINESS SUMMIT HELD AT SPEKE RESORT, MUNYONYO, IN KAMPALA, UGANDA
East African Community THE KAMPALA RESOLUTIONS ON MANUFACTURING
1. The 1st Manufacturing Business Summit was held in Kampala Uganda at Speke Resort, Munyonyo on 1-2 September 2015. The Business summit was officially opened by Rt. Hon, Dr. Ruhakana Rugunda, and the Prime Minister of the Republic Uganda. 2. The Summit was attended by H.E Dr. Mukhisa Kituyi, UNCTAD Secretary General, Amb. Richard Sezibera, EAC Secretary General, Hon. Amelia Kyambadde, the Minister for Trade, Industry...