Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema Na Diamond Wafurahia Usiku Mmoja Jijini Kampala,Uganda

Usiku wa jana tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama  1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.

Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana  matukio hayo kama ifuatavyo;

Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Diamond afunika Kampala, Uganda

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo pichani).

9 …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uu

Diamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda, staa wa muziki wa Bongo Fleva,...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond afunika Kampala, Uganda jana

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo  pichani).

9  …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uuDiamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda,  staa wa muziki wa Bongo...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ALL WHITE CIROCPARTY ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda. Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPA NA PALE YALIYOJIRI USIKU WA ZARI NA VIVAZI VYEUPE DIAMOND NDANI YA KAMPALA


Baadhi ya picha zilizochukuliwa usiku huu kwenye show ya #Zari_AllWhite_CirocParty hizi hapa…Watu wakiwa wamejipanga tayari kuelekea ndani ya mjengo.Habari ndiyo hii palikuwa hapatoshi kiroho safiWarembo walikuwa full kupendeza picha kwa hisani ya Dj Choka.

Credit @chokadj

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Zari All White Ciroc Party Jana Usiku jijini Kampala

Hizi ni baadhi ya picha za Zari All White Ciroc Party  iliyofanyika jana usiku kwenye club Guvnor jijin Kampala.

Zari ambaye ni mpenzi wa Diamond Platinumz ndiye muhusika mkuu wa party hii ambapo watu maarufu  wa hapa Afrika mashariki walikuwepo akiwemo mwanadada Vera Sidika.

Zari All White Ciroc Party

Zari All White Ciroc Party

ZARI8912 ZARI834 ZARI234 ZARI734 Picha Kutoka @zarithebosslady on Instagram

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)  imetoka sare ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2017 nchini Rwanda uliofanyika uwanja wa Nakivubo.Stars ambayo leo imeonekana kubadilika katika mchezo wa leo, ilicheza soka la kuvutia tangu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo hali iliyowaduwaza wenyeji Uganda.Mpaka dakika 45 za mchezo za kipindi cha kwanza zinamalizika, Uganda 0 - 0 Tanzania. Kipindi cha pili kilianza kwa Stars kufanya...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AHUDHURIA MKUTANO WA NNE WA NCHI WASHIRIKI WA KANDA YA KASKAZIN, JIJINI KAMPALA UGANDA


  Makamu wa Rais Dkt Bilal (katikati) akizungumza na Rais wa Uganda Yower Museven (kulia) kabla ya Mkutano huo.  Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki wakiimba wimbo maalumu wa Afrika Mashariki, kabla ya kuanza rasmi Mkutano wa Nne wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Ushirikiano wa Kanda ya Kaskazini, uliofanyika jana kwenye Hoteli ya Speke Resort Munyonyo jijini Kampala Uganda, ambapo Tanzania imeshiriki Mkutano huo kama Mwalikwa.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani