Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond afunika Kampala, Uganda

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo pichani).

9 …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uu

Diamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda, staa wa muziki wa Bongo Fleva,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Diamond afunika Kampala, Uganda jana

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo  pichani).

9  …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uuDiamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda,  staa wa muziki wa Bongo...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ALL WHITE CIROCPARTY ILIYOFANYIKA KAMPALA UGANDA

Mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' akiwekwa sawa kabla ya shoo yake ya All White Ciroc party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Guvnor nchini Uganda. Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (kulia) akiwa na Zari au 'The Boss Lady' kabla ya kuelekea katika shoo.… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Na Diamond Wafurahia Usiku Mmoja Jijini Kampala,Uganda

Usiku wa jana tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama  1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.

Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana  matukio hayo kama ifuatavyo;

Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: US-Uganda architect's vision for Kampala

Reimagining an African city built for segregation

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)  imetoka sare ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2017 nchini Rwanda uliofanyika uwanja wa Nakivubo.Stars ambayo leo imeonekana kubadilika katika mchezo wa leo, ilicheza soka la kuvutia tangu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo hali iliyowaduwaza wenyeji Uganda.Mpaka dakika 45 za mchezo za kipindi cha kwanza zinamalizika, Uganda 0 - 0 Tanzania. Kipindi cha pili kilianza kwa Stars kufanya...

 

9 years ago

Michuzi

THE 1ST MANUFACTURING BUSINESS SUMMIT HELD AT SPEKE RESORT, MUNYONYO, IN KAMPALA, UGANDA

cid:image002.png@01D0E0F2.908558F0
East African Community  THE KAMPALA RESOLUTIONS ON MANUFACTURING
1.     The 1st Manufacturing Business Summit was held in Kampala Uganda at Speke Resort, Munyonyo on 1-2 September 2015. The Business summit was officially opened by Rt. Hon, Dr. Ruhakana Rugunda, and the Prime Minister of the Republic Uganda.  2.     The Summit was attended by H.E Dr. Mukhisa Kituyi, UNCTAD Secretary General, Amb. Richard  Sezibera, EAC Secretary General, Hon. Amelia Kyambadde, the Minister for Trade, Industry...

 

10 years ago

Michuzi

5TH ANNUAL EAST AFRICAN HEALTH AND SCIENTIFIC CONFERENCE OPENS IN KAMPALA, UGANDA

East African Community Headquarters, Kampala, Uganda, 25 March 2015: Uganda’s Vice President His Excellency Edward Ssekandi this morning represented HE Yoweri Kaguta Museveni at the official opening of the 5th Annual East African Health and Scientific Conference and International Health Exhibition and Trade Fair at the Kampala Serena Hotel in Uganda.
In a statement read by his Vice, President Museveni commended the EAC Secretariat and the Partner States for initiating the process of...

 

9 years ago

Michuzi

EA DEFENCE FORCES TO HOLD 9TH EDITION OF MILITARY GAMES AND CULTURAL EVENT IN KAMPALA, UGANDA

The Defence Forces of the EAC Partner States (Burundi, Kenya, Rwanda, Uganda and Tanzania) will hold the 9th Edition of the East African Military Games and Cultural Event from 15 to 26 August 2015 at the Mandela National Stadium in Kampala, Mukono and Jinja in the Republic of Uganda.
The event, themed One People One Destiny through EAC Military Games and Cultural Event 2015, will involve over 500 participants representing the various services of the Defence Forces of the EAC Partner...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AHUDHURIA MKUTANO WA NNE WA NCHI WASHIRIKI WA KANDA YA KASKAZIN, JIJINI KAMPALA UGANDA


  Makamu wa Rais Dkt Bilal (katikati) akizungumza na Rais wa Uganda Yower Museven (kulia) kabla ya Mkutano huo.  Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki wakiimba wimbo maalumu wa Afrika Mashariki, kabla ya kuanza rasmi Mkutano wa Nne wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Ushirikiano wa Kanda ya Kaskazini, uliofanyika jana kwenye Hoteli ya Speke Resort Munyonyo jijini Kampala Uganda, ambapo Tanzania imeshiriki Mkutano huo kama Mwalikwa.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani