Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND APOKELEWA KWA MBWEMBWE UGANDA JANA

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa ndege jana.Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ZARI AMPOKEA DIAMOND KWA SHANGWE UGANDA JANA

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda,Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana. Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa…

 

9 years ago

Habarileo

Rais mpya apokelewa kwa mbwembwe Ikulu

RAIS Dk John Magufuli jana baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam alipokewa kwa shangwe na vifijo na wafanyakazi wa Ikulu eneo la Magogoni majira ya saa 7.30 mchana.

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond afunika Kampala, Uganda jana

2Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akitoa burudani usiku wa kuamkia leo katuka Uwanja wa Lugogo Cricket Oval, Kampala, Uganda.

4Diamond akiimba kwa hisia.5

Madansa wa Diamond wakiendelea na makamuzi.

index…Akiwauliza jambo mashabiki wake wa Uganda (hawapo  pichani).

9  …Akicheza sambamba na madansa wake.rr…Akiimba wimbo wake mpya wa Utanipenda.

uuDiamond akiwa amesimama na madansa wake baada ya shoo.

USIKU wa kuamkia leo katika Uwanja wa Cricket wa Lugogo, Uganda,  staa wa muziki wa Bongo...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE

STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond' alivyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Julai 10, 2014 na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wake pamoja na ndugu. Staa huyo alikuwa anarejea kutoka nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya zoezi la utoaji tuzo za BET.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATUA DAR, APOKELEWA KWA SHANGWE NA MAELFU


Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.

Mashabiki waliofika uwanja wa ndege kumpokea Diamond.

Diamond akipokelewa na mashabiki kwa shangwe.


MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND APOKELEWA KIFALME JIJINI DAR

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Marekani alipotwaa tuzo tatu za Afrimma. Diamond akiwa na tuzo zake akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) muda mfupi baada ya kutua uwanja wa ndege. Diamond akianza safari ya…

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Diamond alitinga Zanzibar kuzima mbwembwe za Ali Kiba

10993948_10206280992848688_6301518464688375618_n

Picha mbalimbali zikimuonyesha Diamond na Zari kwenye viunga vya Forodhani visiwani Zanzibar.

Na Andrew Chale wa Modewji blog, Zanzibar

Katika kile kinachoelezewa na wengi kupitia mitandao ya kijamii na baadhi ya watu walioongea na mtandao huu wa modewjiblog,  wamefunguka juu ya kitendo cha mwanamuziki nguli Nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ kutinga visiwani Zanzibar akiwa na wapambe wake pamoja na Boss Lady Zari ‘asali wa moyo wake’ ni mbwe mbwe za kumzima Ali Kiba ambaye alitikisa...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUWA BONGO, APOKELEWA NA WATU KIBAO USIKU

Staa wa muziki wa kizazi Kipya Bongo,Nasib Abdul 'Diamond', usiku wa kuamkia leo aliwasili nchini akitokea Marekani ambako alienda kwa ajili ya kushiriki kwenye tuzo za BET ,zilizomalizika hivi karibuni, alitua kwenye Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam na kupokelewa na umati wa mashabiki kibao majira ya saa 5 usiku. Diamond akiwanyooshea mikono baadhi ya watu waliyojitokeza… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani