DIAMOND ATUWA BONGO, APOKELEWA NA WATU KIBAO USIKU
Staa wa muziki wa kizazi Kipya Bongo,Nasib Abdul 'Diamond', usiku wa kuamkia leo aliwasili nchini akitokea Marekani ambako alienda kwa ajili ya kushiriki kwenye tuzo za BET ,zilizomalizika hivi karibuni, alitua kwenye Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam na kupokelewa na umati wa mashabiki kibao majira ya saa 5 usiku. Diamond akiwanyooshea mikono baadhi ya watu waliyojitokeza… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL13 Jul
DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE
11 years ago
GPLBONGO MOVIES WAJIFUA KUWAKABILI BONGO FLEVA USIKU WA MATUMAINI IJUMAA HII
11 years ago
GPLBONGO MOVIES TAYARI KUWAKABILI BONGO FLEVA KATIKA USIKU WA MATUMAINI 2014
9 years ago
GPLDIAMOND APOKELEWA KIFALME JIJINI DAR
11 years ago
MichuziMZUNGU TAPELI ANASWA NA MAHERA KIBAO FEKI HAPA BONGO
Yule mzungu aliyekuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kutuhuma za kuwatapeli wananchi kwa Euro Feki hatimae amekamtwa akijaribu kununua gari kwa pesa hizo feki. Habari za uhakika zilizotua mezani zilisema mzungu huyo ambae ni Raia wa South Africa...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
DIAMOND APOKELEWA KWA MBWEMBWE UGANDA JANA
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa ndege jana.Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.
10 years ago
Vijimambo03 Dec
DIAMOND ATUA DAR, APOKELEWA KWA SHANGWE NA MAELFU
Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.
Mashabiki waliofika uwanja wa ndege kumpokea Diamond.
Diamond akipokelewa na mashabiki kwa shangwe.
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa...
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
Wema, Diamond masaprize kibao
JUZI Jumapili wakati watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwenye kona mbalimbali za kula bata, wadau wa Sanaa nchini wakiwemo wasanii wenyewe walikuwa pale Mlimani City, Dar es Salaam, wakifanya yao.
Kwa baadhi ya wasanii ilikuwa ni bonge la saprize iliyojaa furaha pale walipotangazwa kuwa washindi kwenye tuzo za filamu za Sinema Zetu International Film Festival Award (SZIFF).
Tuzo hizo ziliandaliwa na Azam Tv kupitia chaneli ya Sinema Zetu kwa lengo la kutambua kazi za wasanii wa...
10 years ago
CloudsFM30 Dec