DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE
STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond' alivyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Julai 10, 2014 na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wake pamoja na ndugu. Staa huyo alikuwa anarejea kutoka nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya zoezi la utoaji tuzo za BET.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Dec
DIAMOND ATUA DAR, APOKELEWA KWA SHANGWE NA MAELFU
![](http://api.ning.com/files/4t8Bu5s6lgQ8l3g*VblmZCfQGfZop6K1j0rywNSErTRbOyZOUrP2hz-HZaDYeEvvj-K0H*T8YETJBPL4w4N9nEL4fA0qnloj/DIAMOND.jpg)
Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.
![](http://api.ning.com/files/4t8Bu5s6lgQWsBuw7G-bCxbdZHKDD8iqryap3AUlCuf3ljEVS5qdRtpTFa9oa-hVwmnywZAy*gavkjXmtRlbWHuMpN5bsZlx/1diamond2.jpg?width=650)
Mashabiki waliofika uwanja wa ndege kumpokea Diamond.
![](http://api.ning.com/files/4t8Bu5s6lgS55W*7xCa1m4LYY*K*SM99gqht6fRi37U5LaweAcQrN9O-4apqyp9lTNyNUKK82ii*qMy9IIMANOMxKVJPrCMS/1diamond3.jpg?width=650)
Diamond akipokelewa na mashabiki kwa shangwe.
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa...
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Rwanda jana. Diamond Platnumz (katikati) akiwa kamshika mkono mpenzi wake wa sasa Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady baada ya kuwasili uwanja wa…
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E9DB2DDdZbI/VHn4dvaXj3I/AAAAAAAAUMw/anUxLlyqVO8/s72-c/2.jpg)
KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE MTWARA MJINI
Apokelewa kwa ShangweAkagua miradi ya maendeleoAtaka wana CCM kushikamanaKuhutubia wakazi wa Mtwara kesho kwenye uwanja wa Mashujaa
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9DB2DDdZbI/VHn4dvaXj3I/AAAAAAAAUMw/anUxLlyqVO8/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l3rQkqc_ekU/VHn4ccDZFJI/AAAAAAAAUMo/oX7eGKOJsOA/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ebWXouWGnW4/VHn483mx_BI/AAAAAAAAUOw/XwK3TVV_z78/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JuoMP1RHVPw/VFuEnd-kOUI/AAAAAAAGvzw/oP9CN-LHyCo/s72-c/IMG-20141106-WA0014.jpg)
Mh. Makinda apokelewa kwa Shangwe mjini Dodoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuoMP1RHVPw/VFuEnd-kOUI/AAAAAAAGvzw/oP9CN-LHyCo/s1600/IMG-20141106-WA0014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qgYG3HFSnaY/VFuErn33PRI/AAAAAAAGvz4/Tvq3eIZsHAQ/s1600/IMG-20141106-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lg-Z86fW-i4/VFuEt3HDPxI/AAAAAAAGv0A/JH34ecA4_kA/s1600/IMG-20141106-WA0013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rpiSidV7fYo/VFuYcbIQH-I/AAAAAAAGv0Q/0xEqDiTq0G4/s1600/IMG-20141106-WA0017.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-axndZ-vc0P8/VFuYi18FrmI/AAAAAAAGv0Y/sQz6ak3jpkQ/s1600/IMG-20141106-WA0018.jpg)
10 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar apokelewa kwa shangwe
11 years ago
GPLDIAMOND ATUWA BONGO, APOKELEWA NA WATU KIBAO USIKU
Staa wa muziki wa kizazi Kipya Bongo,Nasib Abdul 'Diamond', usiku wa kuamkia leo aliwasili nchini akitokea Marekani ambako alienda kwa ajili ya kushiriki kwenye tuzo za BET ,zilizomalizika hivi karibuni, alitua kwenye Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam na kupokelewa na umati wa mashabiki kibao majira ya saa 5 usiku. Diamond akiwanyooshea mikono baadhi ya watu waliyojitokeza… ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE JIMBONI KWA NGELEJA LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s640/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NP8v4adA1L4/VYhayw9EaSI/AAAAAAAC7S8/koQqWmtO87Q/s640/19.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo kwenye ziara ya Kukagua na kuimarisha uhai wa chama,Kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
10 years ago
GPLMSHINDI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014, MWANAAFA MWINZAGO APOKELEWA KWA SHANGWE MKOANI KWAO MTWARA
Mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Mtwara, mshindi wa shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 Mwanaafa Mwinzago akitoa maneno ya shukrani kwa wakazi wa Mtwara waliojitokeza kuja kumpokea uwanja wa ndege wa Mtwara mapema jana. Vilevile alitoa shukrani zake zote kwa watanzania wote kwa kuweza kumpigia kura na kumfanya aibuke mshindi wa Milioni 50 za Tanzania katika fainali ya shindano la kusaka vipaji vya kuigiza...
10 years ago
MichuziMSHINDI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014, MWANAAFA MWINZAGO APOKELEWA KWA SHANGWE NA NDELEMO MKOANI KWAO MTWARA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10