Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Rwanda jana. Diamond Platnumz (katikati) akiwa kamshika mkono mpenzi wake wa sasa Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady baada ya kuwasili uwanja wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE

STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond' alivyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Julai 10, 2014 na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wake pamoja na ndugu. Staa huyo alikuwa anarejea kutoka nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya zoezi la utoaji tuzo za BET.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATUA DAR, APOKELEWA KWA SHANGWE NA MAELFU


Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.

Mashabiki waliofika uwanja wa ndege kumpokea Diamond.

Diamond akipokelewa na mashabiki kwa shangwe.


MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond Platnumz atua na mpenzi wake Zari mjini Songea

1

Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA).

2

Diamond Platnumz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.

3

Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ AFUNIKA SIKU YA MWAKA MPYA KIGALI, RWANDA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa amebebwa na wacheza shoo wake siku ya mwaka mpya Kigali, Rwanda. Diamond Platnumz akifanya yake. Nyomi ya kufa mtu…

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU AENDELEA KUCHANJA MBUGA,ATUA KAGERA,ADHAMINIWA KWA SHANGWE


Mwigulu Nchemba akiwasili ofisi za CCM Mkoa wa Kagera tayari kwa kudhaminiwa kuelekea Urais 2015.Mwigulu Nchemba akikabidhiwa orodha ya wadhamini wa Mkoa wa Kagera hii leo,Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Bukoba Vijijini.Nimedhaminiwa,Asanteni Wanakagera

VIDEO,MWIGULU AKIAGANA NA WANANCHI WA KAGERA WALIOMDHAMINI

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ ATUA NA ZARI MJINI SONGEA, APIGA SHOO KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM

  Diamond Platnumz na madansa wake wakifanya vitu vyao kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea wakati wa sherehe za miaka 38 ya CCM leo.  …

 

10 years ago

GPL

ZARI AMPOKEA DIAMOND KWA SHANGWE UGANDA JANA

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda,Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana. Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa…

 

10 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATINUMZ ATUA JIJINI MWANZA KWA KISHINDO LEO

 Umati ulioijitokeza kumpokea Diamond Platinumz jijini Mwanza leo alipowasili na kundi lake la Wasafi tayari kusindikiza kwa burudani uzinduzi wa Radio Jembe FM jijini humo  Diamond aliwa na meneja wake Babu Tale (chini kushoto) baada ya kutua Mwanza Mashabiki wakimlaki Diamond Jiji la Mwanza lilisimama kwa muda. Picha zote kwa hisani ya G. Sengo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani