Diamond Platnumz atua na mpenzi wake Zari mjini Songea
Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA).
Diamond Platnumz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.
Mkuu wa wilaya ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/6.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ATUA NA ZARI MJINI SONGEA, APIGA SHOO KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Mwanamziki Diamond Platnumz na mpenzi wake waachia nyimbo mpya
10 years ago
Bongo510 Jan
Huddah amkana mwanaume aliyedai kuwa mpenzi wake, aliyemtangazia Diamond dau la $40,000 ili amuache Zari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iOZRi9*a6ImwnJJDeSKilOGgFI6eOeGEaG4lsF7XseKoQg*VgEIKQlBLniBgv*ZKmflPBsQ-VkeZCHw2yaYdgwHfyGiZhTHv/diamondnazari.jpg)
DIAMOND, ZARI NDANI YA SONGEA
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
10 years ago
Bongo530 Dec
Picha: Zari The Bosslady na Diamond Platnumz ni Kimye wa Afrika!