Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond Platnumz Live Performance | Amahoro Stadium (Rwanda) 1/1/2015

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MTV MAMA 2015: DIAMOND PLATNUMZ MSHINDI WA BEST LIVE

Diamond Platinumz akifanya yake katika red Carpet.  DIAMOND PLATNUMZ ameibuka mshindi wa Best Live na kuwamwaga Mi Casa -South Africa, Flavour- Nigeria, Big Nuz, South Africa,Toofan-…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Rwanda jana. Diamond Platnumz (katikati) akiwa kamshika mkono mpenzi wake wa sasa Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady baada ya kuwasili uwanja wa…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ AFUNIKA SIKU YA MWAKA MPYA KIGALI, RWANDA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa amebebwa na wacheza shoo wake siku ya mwaka mpya Kigali, Rwanda. Diamond Platnumz akifanya yake. Nyomi ya kufa mtu…

 

9 years ago

Bongo5

Sold Out: Diamond Platnumz apafunga Dar Live (Picha)

24

Ilikuwa ni siku ya Christmas, ni Diamond Platnumz stejini na Dar Live ndiyo uwanja wa show, unategemea nini?

24

Ni sold out, ukinyanyua mguu mmoja huwezi kuurudisha tena, nyomi la kufa mtu.

2

Well, hitmaker huyo wa Utanipenda, jana amedhihirisha kuwa ni nyumbani ndiko anakopendwa zaidi kwa kuufunga uwanja wa Dar Live uliopo Mbagala.

3

Ilikuwa ni show ya mtu mmoja iliyovuta maelfu ya mashabiki wa muziki kumshuhudia akiimba wimbo wake mpya Utanipenda na hits zake zingine. Hizi ni picha za show...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wakati akiwasili katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live sambamba na mshindi wa BBA, Idris Sultan. Diamond ndani ya Dar Live.…

 

10 years ago

Bongo5

Music: Diamond Platnumz f/ Yemi Alade — Ukimwona (Live)

Pamoja na kwamba ‘Ukimwona’ haikutoka kama ngoma rasmi ya Diamond, bado kwa wengi ni ngoma kali zaidi kuwahi kuimba na staa huyo. Pengine ndio maana, waandaji wa Coke Studio Africa walichagua Ukimwona utumbuize live akishirikiana na muimbaji wa Nigeria Yemi Alade. Na kwakuwa kipindi hicho kina bendi hatari, wimbo huo umekuwa mzuri zaidi hata ule […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF: TUTAFANYA MAAJABU DAR LIVE

WAKALI wa muziki nchini Diamond Platnumz na Mzee Yusuf wameahidi kufanya shoo ya nguvu katika Sikukuu ya Krismasi kwenye Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live katika Tamasha la Wafalme.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani