DIAMOND PLATNUMZ AFUNIKA SIKU YA MWAKA MPYA KIGALI, RWANDA
![](http://api.ning.com:80/files/mAHYQtHlLj4xNrazY1SRH2veVD-Sp1Zvrjs5xQMD*VNlwnfqlUVXlo*5KOFoA62tCDdDx50GLiHbhokeUlcEWC1HzSnYv3CT/img_530781a3c.jpg?width=750)
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa amebebwa na wacheza shoo wake siku ya mwaka mpya Kigali, Rwanda. Diamond Platnumz akifanya yake. Nyomi ya kufa mtu…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gGYwAZ7Br8k/VCB007ZkWII/AAAAAAAGlHM/bn9jANbngxI/s72-c/unnamed.jpg)
mkutano wa siku tano wa Majaji na Mahakimu wa Afrika ya Mashariki wafunguliwa mjini Kigali,Rwanda
![](http://4.bp.blogspot.com/-gGYwAZ7Br8k/VCB007ZkWII/AAAAAAAGlHM/bn9jANbngxI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5n7AbzsSVLw/VCB01oE4o1I/AAAAAAAGlHQ/T1GZPcd-Jyk/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
11 years ago
Dewji Blog20 May
Waziri wa Fedha ahudhuria mkuatano wa mwaka wa benki ya Maendeleao ya Afrika (AfDB) unaofanyika mjini Kigali — Rwanda
Waziri wa Fedha Mh.Saada Mkuya Salum akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini Bw.Patrick Diamini (wa kwanza kushoto) Mjini Kigali Rwanda. Mh.Waziri yupo Nchini Rwanda kuhudhuria Mkutano wa mwaka wa Benki ya maendeleo ya Afrika.
Mh.Saada M.Salum akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ya Kusini (DBSA) Bw.Patrick Diamini (wa pili kushoto) baada ya kikao kilichofanyika Mount Muhambara – Kigali Rwanda.
Waziri wa Fedha Mh.Saada...
11 years ago
Dewji Blog23 May
Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda
Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika ili kujenga uchumi imara...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Diamond afunika usiku wa Funga Mwaka Concert Dar Live
Mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akifanya yake usiku huu Dar Live.
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
10 years ago
Vijimambo19 Jan
9 years ago
Global Publishers23 Dec