Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mh. Makinda apokelewa kwa Shangwe mjini Dodoma leo

Kikundi cha ngoma cha Lunyamila kikitoa Bururani kwa Mhe. Anne Makinda (wapili kulia) wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege mjini Dodoma leo,baada ya kushinda kiti cha urais wa mabunge SADC. Mh. Anne Makinda akipokea maua kutoka kwa baadhi ya maafisa wa Bunge waliofika uwanjani hapo kumpokea. Mhe.Anna Makinda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu nafasi yake ya kuliongoza Bunge la SADECC mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege Dodoma akitokea Zimbabwe kupitia Nchini Botswana leo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE MTWARA MJINI


Apokelewa kwa ShangweAkagua miradi ya maendeleoAtaka wana CCM kushikamanaKuhutubia wakazi wa Mtwara kesho kwenye uwanja wa Mashujaa Vijana wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati akiwasili Mtwara mjini ambapo alishiriki shughuli mbali mbali za kujenga na kuimarisha chama pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010. Msafara wa Katibu Mkuu ukielekea Mtwara mjini. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE JIMBONI KWA NGELEJA LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI

   Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifafanua jambo alipokuwa akihutubia umati wa watu waliofurika kumsikiliza  katika uwanja wa CCM Wilaya ya Sengerema ambapo aliwaambia wakazi hao Chama Cha Mapinduzi kitasimamia haki na misingi kwani ndio chama pekee kinachojali watu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo kwenye ziara ya Kukagua na kuimarisha uhai wa chama,Kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...

 

9 years ago

Michuzi

LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MJINI BUKOBA LEO

 Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aghakhan kuhudhulia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, leo Septemba 19, 2015.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi Bukoba waliofika kwenye Mkutano wa Kampeni, kusikiliza sera zake, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

SPIKA MAKINDA APONGEZWA KWA KUTEULIWA KUWA RAIS WA MABUNGE YA SADC,MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Spika wa Bunge, Anne Makinda kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 7, 2014 katika tafrija ya kumpongeza Spika kwa kuteuliwa kuwa Rais wa Mabunge ya SADEC iliyofanyika mjini Dodoma. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Anna Abdallah na watatu kulia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki. Spika wa Bunge, Mh. Anne Makinda akipongezwa na Mbunge wa Viti Maalum Mh. Anna Abdallah  katika tafrija ya kumpongeza Spika kwa kuteuliwa kuwa...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE

STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond' alivyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Julai 10, 2014 na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wake pamoja na ndugu. Staa huyo alikuwa anarejea kutoka nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya zoezi la utoaji tuzo za BET.

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATUA DAR, APOKELEWA KWA SHANGWE NA MAELFU


Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.

Mashabiki waliofika uwanja wa ndege kumpokea Diamond.

Diamond akipokelewa na mashabiki kwa shangwe.


MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa...

 

9 years ago

Vijimambo

Mgombea Urais Chadema Mhe Lowassa Apokelewa kwa Kishindo Mjini Bukoba leo.

Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aghakhan kuhudhulia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, leo Septemba 19, 2015.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi Bukoba waliofika kwenye Mkutano wa Kampeni, kusikiliza sera zake, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar apokelewa kwa shangwe

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA) - Zanzibar,Bw. Salumu Mwalimu (kulia) akikabidhiwa vifaa vya ofisi kutoka kwa mtangulizi wake,Bw. Hamad Yusuf (kushoto) wakati wa hafla ya kumkaribisha iliyofanyika kwenye ofisi za chama hicho Daraja bovu mjini,Zanzibar jana.Katikati ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa.Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA) - Zanzibar,Bw. Salumu Mwalimu akiongea kwenye mkutano wa...

 

10 years ago

Michuzi

MH. MAKINDA AWASILI NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE NA VIONGOZI WA UWT KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA BUNGE LA SADC

Rais wa Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC PF) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Anne Makinda akilakiwa kwa shangwe na Viongozi wa UWT mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jana Usiku ikiwa ni furaha za kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jukwaa la Bunge la SADC mjini Victoria Falls, Zimabwbe. Rais wa Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC PF) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Anne Makinda akipokea shada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani