Rais mpya apokelewa kwa mbwembwe Ikulu
RAIS Dk John Magufuli jana baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam alipokewa kwa shangwe na vifijo na wafanyakazi wa Ikulu eneo la Magogoni majira ya saa 7.30 mchana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM18 Dec
DIAMOND APOKELEWA KWA MBWEMBWE UGANDA JANA
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari' au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa ndege jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.
Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mbwembwe Malawi -Rais Mpya kushika doria
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Balozi mpya wa Marekani ajitambulisha kwa Mheshimiwa Makamu wa Rais Ikulu Dar leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akimkaribisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 9, 2014 kwa mazungumzo na utambulisho wa balozi huyo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...
10 years ago
Dewji Blog18 May
Rais Nyusi wa Msumbiji apokelewa nchini kwa nderemo na vifijo
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQCR1NJUNCE/VVkWnuDGkyI/AAAAAAAHX4E/33HLt_B9ha4/s640/n1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IZ_B-k7o0Lw/VVkW0-iOEmI/AAAAAAAHX4Y/l8Adblbmy4Q/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w8PgjDszxX8/VVkXimT3SNI/AAAAAAAHX5w/9EkoZGVzCYg/s640/n3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S-gu41gP7M4/VVkYGMb0O6I/AAAAAAAHX6k/0sD2qEFqSzo/s640/n4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iTg6dy-M0f4/VVkYuvjtK0I/AAAAAAAHX74/1VJG3wB_Rgc/s640/n5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JpmtU2RO1RM/VVkZxj_Y4eI/AAAAAAAHX9I/jQbxAQiDpIc/s640/n6.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Azam kumkaribisha Ikulu rais mpya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCj2nd1xclbDU08LgSvsYBlXFiqG4y5omTOrDMv9BjrpUWXFHhG3YwxDEPgxEZIIFdrIV7OjkiaEDha3EL5-uT0L/1.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA IGP MPYA NA NAIBU WAKE LEO IKULU
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Rais Kikwete amuapisha Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombey Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam, Julai 25, 2015.
Ndugu Kailima Ramadhani Kombwey akiweka sahihi kwenye hati baada ya kuapishwa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Ikulu jijini Dar es salaam jana jioni, Julai 25, 2015.
Rais-uteuzi-tume ya uchaguzi.doc