Azam kumkaribisha Ikulu rais mpya
Klabu ya Azam inayo nafasi kubwa ya kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kutoka kwa Yanga iliyolazimishwa sare ya mabao 2-2 na Mwadui ya Shinyanga jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ihIxMDG95c/U9YxIJZsqXI/AAAAAAACmZc/xGnFPlnhcUY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TZ NCHINI URUSI, NA WA UJERUMAN NCHINI TZ NA KUMKARIBISHA MPYA WA UJERUMAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ihIxMDG95c/U9YxIJZsqXI/AAAAAAACmZc/xGnFPlnhcUY/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sSepww3pbMc/U9YxMYWjFxI/AAAAAAACmZk/jb6uvbQ07pA/s1600/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JCBnZXelMYI/VcN_pl9AEQI/AAAAAAAHusE/hItt9Q8Anas/s72-c/az1.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA KOMBE LA KAGAME TOKA KWA AZAM FC IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCBnZXelMYI/VcN_pl9AEQI/AAAAAAAHusE/hItt9Q8Anas/s640/az1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MNJH--kmHp0/VcN_n58TMLI/AAAAAAAHur8/PBA6LgDBd9Y/s640/az4.jpg)
11 years ago
GPLMENEJA MPYA WA JOHANNESBURG HOTEL AFANYIWA SHEREHE YA KUMKARIBISHA
9 years ago
Habarileo06 Nov
Rais mpya apokelewa kwa mbwembwe Ikulu
RAIS Dk John Magufuli jana baada ya kuapishwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam alipokewa kwa shangwe na vifijo na wafanyakazi wa Ikulu eneo la Magogoni majira ya saa 7.30 mchana.
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
Kogelo yajiandaa kumkaribisha rais Obama
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCj2nd1xclbDU08LgSvsYBlXFiqG4y5omTOrDMv9BjrpUWXFHhG3YwxDEPgxEZIIFdrIV7OjkiaEDha3EL5-uT0L/1.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA IGP MPYA NA NAIBU WAKE LEO IKULU
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Balozi mpya wa Marekani ajitambulisha kwa Mheshimiwa Makamu wa Rais Ikulu Dar leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akimkaribisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 9, 2014 kwa mazungumzo na utambulisho wa balozi huyo. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childres, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...