Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MENEJA MPYA WA JOHANNESBURG HOTEL AFANYIWA SHEREHE YA KUMKARIBISHA

Meneja mpya Edson Chita Nyondo akiongea jambo katika hafla hiyo.
Mmoja wa waratibu wa hotel hiyo (kushoto), Zabron akiwa na meneja mpya.
Mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo akikata keki.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA CHALINZE AFANYIWA SHEREHE ZA JADI KUMKARIBISHA NYUMBANI

Na John Gagarini, Chalinze 
MBUNGE wa Jimbo la Chalinzewilayani Bagamoyo mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete juzi alifanyiwa sherehe za jadi za kabila la Kikwere ambazo zilifanyika kijijini kwao Msoga ambapo sherehe hizo ambazo ziliendana na kukabidhiwa vitu mbalimbali vya kijadi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. 
Baadhi ya vitu alivyoakabidhiwa na mzee wa kabila hilo Zaidi Rufunga ni pamoja na kitanda cha kamba, msuli, kigoda na kinu pamoja na vitu mbalimbali. Sherehe hizo za kijadi...

 

11 years ago

GPL

WAZEE WA ABAJALO WATUMBUIZA NDANI YA JOHANNESBURG HOTEL MKESHA WA PASAKA

Wanamuziki wa Bendi ya Sinza Sound 'Wazee wa Abajalo' wakiongozwa na Jesus Katumbi (wa kwanza kushoto) kutoa burudani. Kiongozi wa Wazee wa Abajalo , Jesus Katumbi akifanya yake.…

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL WAKIUKARIBISHA MWAKA 2014 NDANI YA JOHANNESBURG HOTEL

Wafanyakazi wa Global wakijiachia kwa kucheza muziki ndani ya Johannesburg Hotel usiku huu.…

 

9 years ago

Michuzi

Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation (TPF) yawaandalia Wazee wasiojiweza sherehe ya Krismas na Mwaka Mpya Courtyard protea hotel jijini Dar es salaam

Taswira za shughuli malumu ya chakula cha mchana iliyofanyika pale Courtyard Protea hotel ya Sea View jijini Dar es salam  kwa ajili ya wazee wasiojiweza wanaosaidiwa na Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation siku ya Jumamosi tarehe 19 Desemba, 2015. Shughuli iliandaliwa na uongozi wa  Protea na Rickshaw kwa ajili ya kusherehekea Krismas na mwaka mpya. Jumla ya wazee 60 na wajukuu wao  walikaribishwa na kusaidiwa na wafanyakazi wa Protea. Viongozi pamoja na wahudumu waliopokea wageni wao...

 

11 years ago

GPL

MONALISA AFANYIWA SHEREHE!

Stori: Hamida Hassan ZIKIWA zimekatika siku 40 tangu kifo cha muongozaji maarufu Bongo, George Otieno ‘Tyson’, mke wa ndoa wa marehemu, Yvonne Sheryl ‘Monalisa’, mama yake mzazi , Suzan Lewis ‘Natasha’ pamoja na mwanaye Sonia wamefanyiwa sherehe. Mke wa ndoa wa marehemu Tyson, Yvonne Sheryl ‘Monalisa’ akiwa katika picha ya pamoja na mwanaye Sonia. Kwa mujibu wa Monalisa,...

 

11 years ago

GPL

VICKY KAMATA AFANYIWA SHEREHE

Stori: Musa mateja BAADA ya kimya kirefu tangu ndoa iliyopagwa kufungwa kati yake na Charles Pai kuyeyuka, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha vijana Mkoa wa Geita, Vicky Kamata ameibuka na kufunguka mambo mengi lakini kubwa ni kwamba, amefanyiwa sherehe. Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha vijana Mkoa wa Geita, Vicky Kamata akiwa Bungeni. Akizungumza na Risasi Jumamosi, juzi Alhamisi kwa njia ya simu akiwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya afanyiwa sherehe ya kupongezwa

irene-uwoyaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

MWIGIZAJI wa filamu ambaye jina lake limepitishwa nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Tabora kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Irene Uwoya, amesema malezi aliyopewa na wazazi wake ndiyo yatakayomsaidia kuwa kiongozi bora.

Irene alisema hayo juzi katika hafla fupi iliyoandaliwa na wazazi wake kumpongeza kupitishwa katika nafasi hiyo ambapo pia marafiki zake wa karibu walihudhuria sherehe hiyo.

“Nisingekuwa hapa nilipofika kama wazazi wangu...

 

9 years ago

Mwananchi

Azam kumkaribisha Ikulu rais mpya

Klabu ya Azam inayo nafasi kubwa ya kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kutoka kwa Yanga iliyolazimishwa sare ya mabao 2-2 na Mwadui ya Shinyanga jana.

 

10 years ago

GPL

IDRIS AFANYIWA BONGE LA SHEREHE NA MULTICHOICE JIJINI DAR

Mshindi wa Dola 300,000 za Big Brother Hotshots, Idris Sultan akiwa katika pozi na mshiriki mwenzake katika shindano hilo, Irene Vedastous 'Laveda' wakati wa sherehe hiyo. Idris (katikati) akisaini autograph ya mmoja wa mashabiki wake. Kulia ni Laveda.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani