Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation (TPF) yawaandalia Wazee wasiojiweza sherehe ya Krismas na Mwaka Mpya Courtyard protea hotel jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-LliHLlOZCXk/VnwD9P5RyVI/AAAAAAAIOUU/jjK_N9IlRTY/s72-c/p4.jpg)
Taswira za shughuli malumu ya chakula cha mchana iliyofanyika pale Courtyard Protea hotel ya Sea View jijini Dar es salam kwa ajili ya wazee wasiojiweza wanaosaidiwa na Asasi ya Tushikamane Pamoja Foundation siku ya Jumamosi tarehe 19 Desemba, 2015. Shughuli iliandaliwa na uongozi wa Protea na Rickshaw kwa ajili ya kusherehekea Krismas na mwaka mpya. Jumla ya wazee 60 na wajukuu wao walikaribishwa na kusaidiwa na wafanyakazi wa Protea. Viongozi pamoja na wahudumu waliopokea wageni wao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sVa92OS-k94/VLFG_2SDazI/AAAAAAAG8gQ/YVFHKrwjKM8/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
SHEREHE YA MAOFISA MAGEREZA KUUAGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015 YAFANA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-sVa92OS-k94/VLFG_2SDazI/AAAAAAAG8gQ/YVFHKrwjKM8/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dM-T8w4-2tQ/VLFHAHztCMI/AAAAAAAG8gU/V1fA78CRfmY/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA MWAKA YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
GPLSHEREHE YA MWAKA YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vEBC215_Yu0/VC_Go5qEL2I/AAAAAAAGntM/QjtpgrV7PGA/s72-c/IMG_0876.jpg)
ukumbi mpya wa sherehe jijini Dar es salaam wavutia wengi
![](http://1.bp.blogspot.com/-vEBC215_Yu0/VC_Go5qEL2I/AAAAAAAGntM/QjtpgrV7PGA/s1600/IMG_0876.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iQFIppbopo4/VC_HEPzmsMI/AAAAAAAGntU/_Eb_jMNdfjo/s1600/IMG_0924.jpg)
9 years ago
MichuziRais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
10 years ago
VijimamboWAFANYAKAZI WA PPF IDARA YA UENDESHAJI WAFANYA SHEREHE YA KUFUNGA MWAKA JIJINI DAR ES SALAAM JANA
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA