MBUNGE WA CHALINZE AFANYIWA SHEREHE ZA JADI KUMKARIBISHA NYUMBANI
Na John Gagarini, Chalinze
MBUNGE wa Jimbo la Chalinzewilayani Bagamoyo mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete juzi alifanyiwa sherehe za jadi za kabila la Kikwere ambazo zilifanyika kijijini kwao Msoga ambapo sherehe hizo ambazo ziliendana na kukabidhiwa vitu mbalimbali vya kijadi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
Baadhi ya vitu alivyoakabidhiwa na mzee wa kabila hilo Zaidi Rufunga ni pamoja na kitanda cha kamba, msuli, kigoda na kinu pamoja na vitu mbalimbali. Sherehe hizo za kijadi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hU41ESoc5bE/VJXETJJYCeI/AAAAAAAG4xA/qu7Wm9Xo5bg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKARIBISHWA RASMI NA WAZEE WA KIJIJINI MSOGA KWA SHEREHE ZA JADI
11 years ago
GPLMENEJA MPYA WA JOHANNESBURG HOTEL AFANYIWA SHEREHE YA KUMKARIBISHA
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg?width=650)
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
Huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/215.jpg?width=650)
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwEyosXaP1DIwFGfOPbqWfQf*uW30sYTl9QKObn6kcROk-JbNZyTYRX6BRkH0s4M29nxc5*XP9izhsOQj*qPVUN/mona.jpg)
MONALISA AFANYIWA SHEREHE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRijyZ4LbX0*nMim*GaHA5p80wefnqJqI4Mxl-7l-qZBnaytNK3Sq2nji5FSnZUN5HPzEsNexLtgy1lbJAqR0kc/vicky.jpg)
VICKY KAMATA AFANYIWA SHEREHE
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Irene Uwoya afanyiwa sherehe ya kupongezwa
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu ambaye jina lake limepitishwa nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Tabora kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Irene Uwoya, amesema malezi aliyopewa na wazazi wake ndiyo yatakayomsaidia kuwa kiongozi bora.
Irene alisema hayo juzi katika hafla fupi iliyoandaliwa na wazazi wake kumpongeza kupitishwa katika nafasi hiyo ambapo pia marafiki zake wa karibu walihudhuria sherehe hiyo.
“Nisingekuwa hapa nilipofika kama wazazi wangu...