MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKARIBISHWA RASMI NA WAZEE WA KIJIJINI MSOGA KWA SHEREHE ZA JADI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hU41ESoc5bE/VJXETJJYCeI/AAAAAAAG4xA/qu7Wm9Xo5bg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Na John Gagarini, Chalinze MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete Ijumaa alifanyiwa sherehe za kijadi za kabila la Kikwere kijijini kwao Msoga, kwa mujibu wa mila za hapo.Sherehe hizo, ambazo ziliendana na kukabidhiwa vitu mbalimbali vya kijadi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, ni jadi ya Wakwere ambapo mtu baada ya kupata uongozi hutambikiwa na kukaribishwa rasmi kwenye kundi la wazee wa kijiji. Baadhi ya vitu alivyoakabidhiwa na mzee wa kabila hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ajiandikisha Msoga
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9SDinwhoJgY/VZvg781FSXI/AAAAAAAHnlE/Q3cjyq9j3hE/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMBUNGE WA CHALINZE AFANYIWA SHEREHE ZA JADI KUMKARIBISHA NYUMBANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinzewilayani Bagamoyo mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete juzi alifanyiwa sherehe za jadi za kabila la Kikwere ambazo zilifanyika kijijini kwao Msoga ambapo sherehe hizo ambazo ziliendana na kukabidhiwa vitu mbalimbali vya kijadi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
Baadhi ya vitu alivyoakabidhiwa na mzee wa kabila hilo Zaidi Rufunga ni pamoja na kitanda cha kamba, msuli, kigoda na kinu pamoja na vitu mbalimbali. Sherehe hizo za kijadi...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aondoka rasmi Ikulu na kuelekea kijijini Msoga
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati wakiondoka rasmi katika jumba hilo waliloishi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka 10 iliyopita na kurudi kijijini Msoga. kushoto kwake ni Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na watumishi wa Ofisi ya Rais Ikulu wakati akiondoka rasmi katika jumba hilo...
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s72-c/bye1.jpg)
NEWS ALERT: RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU NA KUELEKEA KIJIJINI MSOGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNMf7QFmRlo/VjyoOnVwk1I/AAAAAAAIEo8/q9JZUsKjMVA/s640/bye1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OypXjzTqX_s/VjyoOe_1ZdI/AAAAAAAIEo0/Oye2IBrFo5g/s640/bye2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PAz97aEjRUk/VOmqdss3pXI/AAAAAAAHFKM/wm4iniRsgsw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
RIDHIWANI KIKWETE NDIYE MBUNGE JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
Michuzi18 Jul
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUFANYA MAMBO JIMBO LA CHALINZE, SAFARI HII NI ZAMU YA JESHI LA POLISI
![1A](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1A.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/128.jpg)
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUFANYA MAMBO JIMBO LA CHALINZE, SAFARI HII NI ZAMU YA JESHI LA POLISI