RIDHIWANI KIKWETE NDIYE MBUNGE JIMBO LA CHALINZE
![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
Mbunge mpya wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete. MATOKEO rasmi ya Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze yametangazwa ambapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata jumla ya kura 20812, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kikipata kura 2628 na chama cha Wananchi CUF kimepata kura 473, AFP 78 na NRA 59. Kwa matokeo hayo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda Kiti cha Ubunge Jimbo la Chalinze kwa asilimia 86.5 kupitia kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Jul
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUFANYA MAMBO JIMBO LA CHALINZE, SAFARI HII NI ZAMU YA JESHI LA POLISI
![1A](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1A.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/128.jpg)
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUFANYA MAMBO JIMBO LA CHALINZE, SAFARI HII NI ZAMU YA JESHI LA POLISI
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qNvYBUlLrkU/UyfV0-4aTyI/AAAAAAAFUYQ/YrZJG0uzslQ/s1600/1.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ajiandikisha Msoga
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9SDinwhoJgY/VZvg781FSXI/AAAAAAAHnlE/Q3cjyq9j3hE/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mh. Ridhiwani Kikwete afanya mambo makubwa jimbo la Chalinze
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwani wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s72-c/52.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AANZA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s1600/52.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fvYL_g5Yk3c/UyNojFi6r8I/AAAAAAAFThU/I95wZvYcImU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Ridhiwani Kikwete aapa kupambana na matapeli wa ardhi jimbo la Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete,akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Fukayosi, Kata ya Fukayosi, wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kuwa mbunge miezi sita iliyopita.Ridhiwani kutoruhusu hata kipande cha heka moja kuporwa na matapeli katika jimbo lake la Chalinze.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kijana Salumu Khamis akiuliza swali mbele ya Mbunge Ridhiwani Kikwete kuhusu tatizo la maji katika...
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...