RIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://4.bp.blogspot.com/-qNvYBUlLrkU/UyfV0-4aTyI/AAAAAAAFUYQ/YrZJG0uzslQ/s1600/1.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kulia) akiambatana na Mwenyekiti wa Kampeni wa Chalinze (CCM),Saleh Mpwimbwi (kushoto) pamoja na Msafara wake wakielekea kuhani Msiba wa Mtoto wa Mzee Mashaka Athuman mkazi wa kijiji cha Rupungwi,Kata ya Mandela iliopo ndani ya Jimbo la Chalinze jana Machi 17,2014. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
RIDHIWANI KIKWETE NDIYE MBUNGE JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mh. Ridhiwani Kikwete afanya mambo makubwa jimbo la Chalinze
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwani wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s72-c/52.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AANZA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s1600/52.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fvYL_g5Yk3c/UyNojFi6r8I/AAAAAAAFThU/I95wZvYcImU/s1600/4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-P1Xb0gJSQsI/Uz27v90t2LI/AAAAAAAFYR0/Ci1fFicJ6bY/s1600/32.jpg?width=650)
RIDHIWANI KIKWETE AUNGURUMA KATA YA BWILINGU NDANI YA JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/36.jpg)
MH. RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAMBO MAKUBWA JIMBO LA CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Ridhiwani Kikwete aapa kupambana na matapeli wa ardhi jimbo la Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete,akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Fukayosi, Kata ya Fukayosi, wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kuwa mbunge miezi sita iliyopita.Ridhiwani kutoruhusu hata kipande cha heka moja kuporwa na matapeli katika jimbo lake la Chalinze.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kijana Salumu Khamis akiuliza swali mbele ya Mbunge Ridhiwani Kikwete kuhusu tatizo la maji katika...
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...