Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ajiandikisha Msoga
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Mwandikishaji Msaidizi katika kituo cha kupiga kura kituo cha Afya Msoga Bi.Happyness Thomas Misana akimkabidhi fomu Mbunge wa Chalinze Mh.Ridhiwani Kikwete wakati mbunge huyo alipojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura leo.
Afisa TEHAMA kutoka Tume ya Taisa Ya Uchaguzi Bwana SAnif Khalfan akimkabidhi Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete kutambulisho chake cha mpiga kura baada ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura leo
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hU41ESoc5bE/VJXETJJYCeI/AAAAAAAG4xA/qu7Wm9Xo5bg/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKARIBISHWA RASMI NA WAZEE WA KIJIJINI MSOGA KWA SHEREHE ZA JADI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
RIDHIWANI KIKWETE NDIYE MBUNGE JIMBO LA CHALINZE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PAz97aEjRUk/VOmqdss3pXI/AAAAAAAHFKM/wm4iniRsgsw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Michuzi18 Jul
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUFANYA MAMBO JIMBO LA CHALINZE, SAFARI HII NI ZAMU YA JESHI LA POLISI
![1A](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/1A.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR Msoga leo
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/128.jpg)
MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUFANYA MAMBO JIMBO LA CHALINZE, SAFARI HII NI ZAMU YA JESHI LA POLISI
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE KUHARAKISHA MAENDELEO CHALINZE