MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete,Bi. Arafa Mohammed (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Vyombo vya ndani na Tende mzee Said Khamis Mnyika wa kijiji cha Changarikwa kata ya Mbwewe kama zawadi ya mbunge huyo katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kwa familia zenye mahitaji muhimu kutokana na kuishi katika mazingira magumu.ambapo vifaa vya ndani pamoja na Tende zitatolewa kwa familia zipatazo 600 katika kata zote za jimbo hilo.
Huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/215.jpg?width=650)
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg?width=650)
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu atoa misaada kwa watu wenye mahitaji maalum Dar
Baadhi ya misaada mbalimbali iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.(Picha zote na Khamisi Mussa).
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MBUNGE NAMELOK AGAWA MISAADA
![DSCF2464](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/LTfy9Q1YXl8vOUu98QgXND6YLF-77NkHbKt7PylKlqsFO5qJDA8XZZcbfrCRixCY09k5Ctg1mO2EDS1tumSqcqURm4c2dE4IcTGPsMhdlL_ZvBNQ7uvoDifzE7NadQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2464.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2485](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/o5kagLks97K7s9BOIOJ7XzDtHI1RLcDw7l1uMDHdoxq_iJV5Xc96jaaY80UyK993vlSc9sQujW2_bOIyx5i0KaDCb_nXwJbUP05RyGCRPnBAZ76zOr16f3myPquWPw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2485.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2533](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/9_cdrJe6l69HIZjrVg3yS6g6piH-MWr0Hq8qHPUhRWWiBWawS43WMNKOvZByYEURsnGG5BqiUTwDWkQFanHszTAWtYZb9uZIRQZ8Ycs511y4PUFHcjqjERTGBSKTNQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2533.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2517](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/8aKEh0n54rr4JQXxV3AgdxdCcltRuVYj9vD0xDPOrp9zbv70DqZf6PmVczOODQtXl3cPvFguJs9VxQET5YD5RF7i_cdywZtVhtu8t_Px58a2DjcSbmYABfJM7_tBiA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2517.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hVWCzik_Sg0/VIBvd5XykVI/AAAAAAAG1Ro/dByxP8Zr2D0/s72-c/001.CHALINZE%2B%2BMEDIA.jpg)
MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMBUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-hVWCzik_Sg0/VIBvd5XykVI/AAAAAAAG1Ro/dByxP8Zr2D0/s1600/001.CHALINZE%2B%2BMEDIA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mfQsFKDwG0I/VIBvd2T99mI/AAAAAAAG1Rk/7uD7fZKY6QY/s1600/002.CHALINZE%2BMEDIA.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zYBVQBdr3skIgqcwM--jdmipehh4JSPDTEN2xI-TDCU3eDyqOXgl4tQpN33S1JLJtjGYEXq1Y7aUA-q7B2si*by/1001.CHALINZEMEDIA.jpg?width=650)
MBUNGE WA CHALINZE ATOA WITO KWA MAKAMPUNI YA MAWASILIANO KUSAMBAZA HUDUMA KWA WATEJA WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Taarifa ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze. Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya :
http://www.utt-pid.orgAu ...